
Biblia inasema mfundishe mtoto katika njia impasayo, naye hataicha hata atakapokuwa mkubwa.
Ni jukumu letu wazazi kuwafundisha watoto maadili mema.
Mtu huwa hazaliwi na tabia mbaya ila tabia ( characters) huumbwa.Hakuna mtu anayekuja duniani akiwa mtenda dhambi ila mtu huwa anafanywa vile alivyo.
No comments:
Post a Comment