Tuesday, March 18, 2008

MAMBO YA COMORO


Askari wa jeshi la wananchi tanzania (JWTZ) wakiwa katika mazoezi ya kijeshi kabla ya kuanza kurusha mabomu ya BM, kama mnakumbuka yalifanya kazi sana Uganda!

Wapiganaji wa JWTZ wakiwa na vifaa vyao kwa ajili ya mashambulizi ya ardhini.

Wakiingia sehemu huwa hawataki mchezo!

Mzee wa Sumo akiwa katika moja ya vifaa vya mashambulizi hivi karibuni, anatarajia kwenda kuona kazi ya wanajeshi wetu huko Comoro.

JWTZ ina wataalamu na wapiganaji thabiti wanaoweza kufanyiza wakati wowote hapa wako gado!

No comments: