Wednesday, March 26, 2008

Magari Yakwama Chunya..


Pichani ni magari ambayo yamekwama na kuziba njia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika kijiji cha Kawatere barabara ya kutoka Chunya kuelekea Mbeya ambapo barabara hiyo iko kweye matengenezo.

No comments: