Thursday, April 29, 2010

Leo nilipata mgeni wa ghafla ofisini kwangu aliyejitambulisha kwa jina la Nabii Titto.Nabii Titto yeye anahubiri matumizi ya pombe kwa kutumia Biblia,anasema kuwa mungu ameruhusu watu wanywe pombe kwani ni tiba sahihi kwa magonjwa mbalimbali .Alikuja ofisini kwangu ili nimsaidie kurekodi kanda na cd mbalimbali zitakazomafanya watu mbalimbali duniani kupata neno lake na kunisihi sana na kuniambia nikubali kwani ilo ndio ombi mungu alilomtuma kwangu.Mimi sikumkubalia ombi lake kwani ninavyoamini mimi na imani yangu ni vitu viwili tofauti.Je Wadau mnasemaje kuhusu Nabii Titto


Nabii Titto yeye anadai kuwa ameoteshwa na mungu kuwa watu wanywe pombe kwani ni tiba sahii tosha kwa magonjwa mbalimbali na si pombe tu mpaka sigara,Sikuamini maneno yake akatumwa mtu alete pombe na Nabii Titto bila hiyana kudhihirisha umma akakata safari beer,Wadau mpooo


Kipeperushi hiki cha Nabii Titto kiliniacha hoi

Na mtu huyu anadai kuwa yuko mbioni kuanzisha kanisa

Juma Chikoka (Chopa mchopanga) akiwa na Jackline Wolper na Johari wakimsikiliza Nabii Titto kwa umakini mkubwa
haya utayakuta kwa dada j dee.

Mvua Zinazoendelea kunyesha maeneo

mbalimbali Jijini Dar es Salaam!!!

Hii ni barabara ya Nyerere Road Banda la ngozi,hali si shwari

maeneo hayo kwani barabara imefunikwa na maji haionekani

hata kidogo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini.

Hii ndio hali halisi ya barabara ya Nyerere Road kuelekea Airport

,mvua hizi husababisha baadhi bya magari kuzimika katikati ya

barabara kutokana na wingi wa maji...Lakini nani wakulaumiwa

kama sio TANROADS kuwa na miundo mbinu mibovu wakati

barabara hizi zinapojengwa?

Kwa wale wenye vigari vya chini kuna hati hati ya magari

yenu kuzimika katikati ya barabara kutokana na mimaji

inayojaa kwenye barabara ya Nyerere kuelekea Airport.

Kati ya Mvua na Jua Bora nini?kwa

hali hii nafikiri

hapa jibu utapata kwa jay mo na wimbo mvua

na jua bora nini .

Cuba kujenga kiwanda cha madawa nchini!!!

SERIKALI ya Cuba imeanza kufuatilia utekelezaji wa ahadi yake iliyotoa kwa serikali ya Tanzania kuhusu ujenzi wa kiwanda cha madawa nchini.

Akizungumza na Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein, Mkurugenzi wa maabara ya kibaiolojia na dawa ya Cuba, Dk. Jose Antonio Fraga Castro amesema wamepanga programu ya ujenzi wa kiwanda hicho ifanyike katika kipindi cha miaka miwili hadi miwili na nusu.

Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam jana, Dk Castro alieleza kuwa ujenzi wa kiwanda hicho ni kuitikia mwito wa Rais Jakaya Kikwete na Makamu wa Rais walipotembelea maabara ya Labiofam kwa nyakati tofauti nchini Cuba ambapo waliomba Cuba isaidie jitihada za kudhibiti malaria nchini.

Alisema kiwanda hicho kitatengeneza dawa kwa kutumia njia za kibiolojia bila ya kutumia dawa za kemikali ambazo mara nyingi huharibu mazingira.

Alisema pamoja na kutengeneza dawa ya kudhibiti malaria kiwanda hicho kitatengeza pia dawa za chanjo kwa wanyama pamoja matumizi ya tekinolojia ya kisasa katika kilimo na kufanya shughuli za utafiti.

Dk. Castro alisema wakati mchakato wa kujenga kiwanda hicho ukiwa mbioni wataanza haraka iwezekanavyo na mradi wa majaribio wa kuangamiza mazalio ya mbu kwa kutumia dawa hiyo isiyo na kemikali kwa mkoa wa Dar es salaam.

Kwa upande wake Makamu wa Rais alimueleza Mkurugenzi huyo kuwa serikali ya Tanzania imedhamiria kutokomeza malaria na mwezi mmoja uliopita Rais Kikwete alizindua mradi mkubwa wa malaria wenye kauli mbiu ‘malaria haikubaliki’.

Wakati huo huo, Makamu wa Rais alikutana na Balozi wa Afrika Kusini nchini Phanduyise Henry Chiliza ambapo walizungumzia kwa ujumla changamoto za kiuchumi katika bara la Afrika.

Happy birthday!

Unajua leo Chidi Beenz pamoja na Pipi leo wanasherekea sikuku ya kuzaliwa. Tunawatakia sikukuu njema na waendelee kufanikiwa katika maisha yao na kutuletea burudani kama hizi watupazo .

Wednesday, April 28, 2010

KERO !!
Du kweli bongo tamu acha tu unajua kwa nini maana mambo yanavyo ahinishwa sivyo yanavyofanyika. Hii ilinikuta jana maeneo flani katika maswala ya kutaka kufanya huduma nao.
Sehemu hiyo ni ya kampuni moja maarufu sana hapa mjini. Natumai hili litakuwa tatizo la mfanyakazi wa kituo hicho. Kwa nini nasema hivi ? kwa sababu matumaini yangu ni kuwa wakubwa wanajitaidi hadi kuweka muda katika milango kama njia ya kuwadhibiti wafanyakazi wafunge kwa muda ulio ainishwa lakini wanasitisha huduma dakika ishirini kabla. Kwa maslai yao binafsi pasipo kujua wanapoteza wateja na kuwa ona ni watu wasioenda na muda.
Jamani huu ni uungwana ukikosa unasema nitapata lini na ukipata ndio unaanza kujipangia mambo yako unakiuka yale uliokubaliana nayo. Kutokana na hili kunapelekea wateja wapya na wazamani kuichukia huduma usika na kampuni kwa ujumla kwa ajili ya mtu mmoja. Jamani tujirekebishe na kibaya zaidi unakuta watu wanatetea kuwa muda umeisha na wakati kuna dakika kama ishirini za ziada kabla ya kufika muda ulio ainishwa na bango lao mlangoni ,
bongo bwana ukifanya mambo inavyotakiwa ndio unaonekana wakuja au mshamba . Alafu watu sie sie tuna sema hatuna maendeleo, o wageni wanachukua kazi zetu na kadhalika lazima wazichukue tu kama hatubadiliki tutaendelea kuongea wakati wenzetu ni vitendo tu .
Ni hayo tu
Kadidi hapa.
Pia unaweza acha comment katika kero hii.

Tuesday, April 27, 2010

NEWS ALERT! SEACOM'S FIBRE OPTIC CABLE SERVICES DOWN
Many ISPs suffer with international bandwidth constraints as SEACOM maintenance takes longer than expected

SEACOM last week said that it experienced a brief interruption in its network on 14 April 2010 as a result of a fault on the Mediterranean section of the SEA-ME-WE 4 submarine cable system, which SEACOM currently utilizes to connect to London.

SEA-ME-WE 4, which stretches from South East Asia to Europe via the Indian Sub-Continent and Middle East, was scheduled to undergo repairs on Saturday 24 April 2010 to fix the affected fibre pair in the Mediterranean Sea.

According to SEACOM this process is carried out by a repair ship which has been deployed to the location of the fault where it will pick up the cable, cut it and bring it onboard to undergo the repair on the optic fibre before the cable is placed back in the water. SEACOM said that this will result in the power being shut down on the cable for the duration of the repair.
“Whilst the disruptive portion of the repair process is expected to be minimal, the precise chronology and actual duration is unpredictable due to exogenous factors such as weather conditions,” SEACOM said.

This process however took longer than expected, and reports from this morning suggest that SEACOM is still down.

--------------------------

SEACOM explains prolonged downtime

SEACOM experienced an interruption in its service on 14 April 2010 which lasted around seven minutes as a result of a fault on the Mediterranean section of the SEA-ME-WE 4 submarine cable system, which SEACOM currently utilizes to connect to London.

SEA-ME-WE 4, which stretches from South East Asia to Europe via the Indian Sub-Continent and Middle East, was initially scheduled to undergo repairs to fix the affected fibre pair in the Mediterranean Sea on Saturday 17 April 2010 but this was subsequently rescheduled to Saturday 24 April 2010.

However, due to ongoing maintenance activity on another cable network servicing Africa and poor weather in the Mediterranean Sea, the actual work only began on Sunday 25 April 2010 resulting in the SEACOM service experiencing interruptions from around mid-day on Sunday.

The ongoing repair work is affecting several cable systems and has impacted negatively on the overall Internet connectivity in many regions across the Middle East, Africa and Asia, which rely to some extent on the availability of the SEA-ME-WE 4 cable for global connectivity.

Operators that have opted to work with SEACOM to find alternative channels have been routed to an Internet Access point in India to maintain service. The repair work is managed and controlled by SEA-ME-WE 4 who has indicated that the repair window may be extended to Friday 30 April 2010 for reasons unknown to SEACOM at this point.

SEACOM will continue to provide updates as more information becomes available.

CLICK HERE FOR SOURCE

Saturday, April 24, 2010

shekilango njia panda !!


Jana asubuhi sikujua nini kililikumba gari hili maeneo ya barabara ya morogoro njia panda ya kwenda sinza kwa jina shekilango. Maana gari lilikuwa eneo hilo sasa sijui jamaa alikuwa anapita njia ya mkato au !! Ila ilinishangaza sana hii maana gari halikuonekana kama linatatizo lolote ila lilipokuwa ndipo liliko nishangaza mpaka sasa sina majibu ni kwa nini !!
Umeisikia hii !!!
Hii imetokea huko kwa majirani zetu unaweza usiamini ila ndio imetokea, Twende kazi kama kawaida jana asubuhi kama kawaida yangu nilikuwa nasikiliza kipindi flani kupitia redio moja tena maarufu hapa jijini.
Nikakutana na kisange hiki nacho ni juu ya vituo vyote vya redio kupewa siku kumi na moja kujianda na utaratibu mpya wa kuweka sauti za wanyama na milio ya mitutu badala ya miziki na hii ni kwa ajili ya kurejesha maadili .
Naatakae kaidi atakiona huko ni amri tu ila nikaweza kusikiliza maoni ya watu wanchi hiyo ya somalia wakisema serikari yao inafuatilia mambo ambayo hayana msingi na kuacha yale ya umuhimu . nyie mnasemaje wakublog wenzangu.

Thursday, April 22, 2010


YOUR SECURITY MATTERS

Dear All,
this much is true..........

"It all started when I received a call from someone claiming that he was
from Safaricom
and he asked me to shutdown my phone for 2 hours for 3g update to take
place. As I
was rushing for a meeting, I did not question and turned off my cell phone.

After 45 minutes I felt very suspicious since the caller did not even
introduce his name. I quickly turned on my cell phone and I received several
calls from my family members and the others were from the number
that had called me earlier - 3954380.

I called my parents and I was shocked that they sounded very worried asking
me whether I am safe.
My parents told me that they had received a call from someone claiming that
they had me with
them and asking for money to let me free. The call seemed so real and my
parents were certain they heard
'My voice' crying out loud asking for help.

My father was at the bank waiting for further instructions about the money
transfer.
I told my parents that I am safe and asked them to lodge a police report.

Right after that I received another call from the guy asking me to shutdown
my cell phone for
another 1 hour which I refused to do and hung up. They keep calling my cell phone. I have lodged a complaint with the police and I was
informed by the officer that there were many reports of similar scams. MOST
of the cases
reported that the victim had already transferred the money!
And of course it is impossible to get back the money.

Be careful as this kind of scam could happen to any of us!!!
These guys are so professional and very convincing during calls. If you are
asked to
shut down your cell phone for updates by the service provider, do not do so!
The service providers will hopefully place adverts to that effect in the
media...

Be Safe and Stay Alert!

Please pass around to your family and friends!
Have a good one....

Wednesday, April 21, 2010

Maharamia wa kisomali wameteka boti tatu za kuvua samaki za Thailand katika bahari ya Hindi.
Jeshi la wanamaji wa Umoja wa Ulaya limelielezea shambulio hilo kuwa la mwanzo kufanyika mbali sana na pwani ya Somalia.

Msemaji wa jeshi la Umoja wa Ulaya amesema boti hizo tatu, zilizobeba jumla ya mabaharia 77, zilitekwa siku ya Jumapili.

Amesema shambulio hilo limefanyika mbali na eneo ambalo jeshi hilo linafanyia shughuli zake, takriban kilomita 2,222 kutoka pwani ya Somalia.

Inasemekana maharamia hao walikuwa wanapeleka boti hizo nchini Somalia.
Mabaharia wote waliopo kwenye boti hizo, MV Prantalay 11, 12 na 14 zinaripotiwa kumilikiwa na Thailand.

Kama umjuavyo Kocha wa Inter Milan Jose Mourinho( special one ) kulia akishangilia na mchezaji wake pamoja na maafisa wa timu hiyo usiku wa kuamkia leo baada ya kuifunga Barcelona magoli 3-1.

Inter wameweza kujiweka vizuri katika mashindano ya ubingwa wa ulaya
kwa kuwafunga mabingwa watetezi Fc Barcalona kwa magoli 3-1 katika uwanja
wa stadio meazza de san siro milano usiku huu na kujiweka kaatika matumaini
ya kucheza fainali itakayofanyika Madrid Spain.

Mchezo ulikuwa wa kiufundi
haswa kutokana na uchezaji mzuri wa timu ya Barça lakini kwa usiku huu walishindwa
kabisa kuukabili mchezo wa nguvu wa timu ya Fc Inter ambao waliweza kuwabana
vuzuri uwanjani. Barçalona ndio waliokuwa wa kwanza kuandika bao lililofungwa na
mchezaji chipukizi Pedro rodriguez katika dakika ya 19 kipindi cha kwanza.


Dakika ya 30 kipindi cha kwanza snejder aliweza kuisawazishia timu yake ya Inter,na
kipindi cha pili dakika ya 48 maicon aliongeza bao la pili na Diego milito mnamo dakika ya
61 aliweza kuandika goli la tatu ambalo wachezaji wa barçalona walipinga vikali wakidai
limefungwa kwa kuotea.mechi ya marudiano itafanyika mjini Barçalona tarehe 28/4 ya
mwezi huu
sasa kazi ipo mechi ya marudiano maana Barcelona walionyesha kiwango ball position wao walikuwa na alama za juu kama ingekuwa kuangalia hiyo jna barcelona wangeshinda lakini raha ya mechi bao Inter waliweza kufanya hilo .
Hongera watot o wa special one.

Jamaa alinogewa na ushabiki wa bongo akaona bora avue koti na kofia ili kupagawisha wabongo,kila mtu aliondoka meno yote nje baada ya J-martins kufunga Usiku wa uhuru wa kuongea na kibao chake Good Or Bad,pichani J-martins akiimba kwa hisia kwa kweli ulikuwa ni usiku wa Uhuru wa Kuongea.
Hivi ni kwanini kila msanii anayetoka nje ya Tanzania ni lazima aombe kucheza na wasichana wa Kibongo jukwaani hii inamaanisha nini?na dada zetu wanapagawa kweli wakiitwa kwenye jukwaa kama inavyoonekana pichani J-martins akicheza na flowers wabongo.

Mashabiki wa J-martins meno 30 yote yalikuwa nje baada ya kumuona mwanamuziki huyo jukwaani akifanya mambo makuwa kama unavyowaona mashabiki wakifurahia onesho hilo

Onesho hili lilivuta hisia za mashabiki wengi kama picha hii inavyoonyesha mashabiki wakiangalia jukwaani kwa hisia wakati mwanamuziki huyo alipokuwa akiimba hata hivyo tathmini inaonyesha wanawake walikuwa ni wengi kuliko wanaume,pichani mashabiki wakifurahi wimbo wa mwisho uliofunga Usiku huo.

Tuesday, April 20, 2010

Rais Kikwete pichani !!


Ra
Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania naye kidogo dhahama ya majivu ya volcano yaliyotanda bara la ulaya yatamchelewesha kuja nyumbani. Kwa sasa yuko nchini Marekani kwa shughuli za kitaifa.

Monday, April 19, 2010

Condom Feki za Kamasutra Zateketezwa jijini


Mabosi ya Mipira ya kiume aina ya kamasutra ambayo ni feki yakiteketezwa jijini Dar es salaam na shirika la viwango Tanzania(TBS) baada ya kugundulika ni feki na ziliingizwa nchini kutoka india.mabosi hayo ya kondom feki yaliteketezwa pugu kinyamwezi.Picha na Yusuf Badi.
Da kweli bongo tutamalizana tuwe wazalendo. Unaleta mzigo kama huu watumiaji wanatumia alafu wanaathirika. Hii itawajenga watumiaji wote kuwa hazifai kwa maana wanapata maambukizi, kumbe kutokana na watu wachache wenye uchu na pesa za haraka haraka. Na haya mashirika ya viwango yako wapi inamaana vitu kama hivi vinaposafirishwa kutoka masafa marefu kama hayo hawavichinguzi maana na yo niaibu kutoka kwao ni hayo tu.
LUNYASI OYE!
Mwenyekiti wa Simba Mzee Hassan Dalali akilia kwa furaha
Nahodha wa Simba, Nico Nyagawa akipokea Kombe la Ubingwa wa Ligi kuu ya Vodaconeshno jipya jijini Dar jana kutoka kwa mgeni rasmi, Waziri wa Kazi Ajira na Maendeleo ya Vijana Profesa Kapuya ambaye hafichagi kuwa yeye ni Simba damu.
Kocha Msaidizi wa Simba, Amri Saidi, akibebwa na mashabiki wa timu yake baada ya mchezo kumalizika. Amiri Saidi ndiye aliyeshika mikoba jana kwani kocha mkuu wa simba Phiri yuko kwao Zambia akiuguza
Beki wa kushoto wa Yanga, Amiri Maftah akimiliki mpira huku akizongwa na mshambuliaji wa Simba, Nico Nyagawa.
Wachezaji wa Yanga wakiwasalimia mashabiki wao kabla ya kuanza kwa mchezo wa ligi ya Vodacom dhidi ya Simba. Hilary Echessa, akishangilia bao la nne aliloifungia timu yake ya Simba wakati wa mchezo wa Ligi ya Vodacom dhidi ya Yanga uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kulia ni Emmanuel Okwi. Simba ilishinda 4-3.
Mchezaji wa Simba, Uhuri Selemani (kulia) akibadilishana jezi na Abdi kassim wa Yanga

Da kwa kweli jana timu ya wana wamsimbazi walifanya kile walichotakiwa kukifanya na pia watani mtachonga sana kuwa mlicheza sana . Ila kama mjuavyo kuwa raha ya gemu si bao jamani na sie tulipata bao nne kwa hiyo msimu huu sisi mkubali ni jogoo tu .

Saturday, April 10, 2010

POISONOUS PLANT

DUH IN GOD WE TRUST

"This plant that we have in our homes and offices is extremely dangerous!
This plant is common in Cameroon , in many offices and in homes. It is a deadly poison, mainly for the children. It can kill a kid in less than a minute and an adult in 15 minutes. It should be uprooted from gardens and taken out of offices. If touched, one should never touch ones eyes; it can cause partial or permanent blindness. Please alert your buddies.