Mvua Zinazoendelea kunyesha maeneo
mbalimbali Jijini Dar es Salaam!!!
Hii ni barabara ya Nyerere Road Banda la ngozi,hali si shwari
maeneo hayo kwani barabara imefunikwa na maji haionekani
hata kidogo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini.
Hii ndio hali halisi ya barabara ya Nyerere Road kuelekea Airport
,mvua hizi husababisha baadhi bya magari kuzimika katikati ya
barabara kutokana na wingi wa maji...Lakini nani wakulaumiwa
kama sio TANROADS kuwa na miundo mbinu mibovu wakati
barabara hizi zinapojengwa?
No comments:
Post a Comment