LUNYASI OYE!
Mwenyekiti wa Simba Mzee Hassan Dalali akilia kwa furaha
Da kwa kweli jana timu ya wana wamsimbazi walifanya kile walichotakiwa kukifanya na pia watani mtachonga sana kuwa mlicheza sana . Ila kama mjuavyo kuwa raha ya gemu si bao jamani na sie tulipata bao nne kwa hiyo msimu huu sisi mkubali ni jogoo tu .
No comments:
Post a Comment