Wednesday, June 30, 2010

Kusajiri Namba Za Simu
Mwisho leo.


Hali ilivyo vituoni..!
JK awasili Dodoma leo
wana CCM na wakazi wengine wa mjini Dodoma wakishuhudia ndege ya JK ikitua uwanja wa ndege wa mjini Dodoma. JK yuko mjini Dodoma tayari kwa kurudisha fomu za udhamini wa kugombea urais kupitia chama tawala cha CCM. Zoezi hili linategemewa kufanyika kesho tarehe 1 Julai 2010.
shangingi lapiga mweleka maeneo ya manga mkoani tanga

Bro Kadidi,
"ndege" nyingine "ilianguka" sehemu hizo hizo za Manga Mkoani Tanga siku kadhaa zilizopita.Mwendo kasi sana wa shangingi-ndege ulisababisha gari kupaa na kugonga nguzo ya TANESCO iliyopo mlimani , na baadaye shangingi hilo kutua mtaroni.Abiria wote walipona.
Mshuhudiaji
Mdau Lawrence
Mafia kunani tena???
Kisiwa cha Mafia

Sisi kama wenyeji wa kisiwa hichi na wenye nia uchungu na kisiwa hiki
tumesikitishwa na hatua ya baadhi ya wenye mahoteli ya kitalii kwenye
kisiwa hichi pamoja na uongozi mzima wa wilaya (DC) na halmashauri kutoa
kibali kwa kundi la burudani toka Ugiriki kuja kufanya vitendo vya ushoga
kwa kutumia mgongo wa Tamasha la muziki.

Pia tumesikitishwa uongozi hapa Mafia kukubali kutoa kibali kwa hawa vijana
3,000(revelers) bila kupata ridhaa ya wenyeji wa Kisiwa hichi (Public
consultation). Tungependa ifahamike kuwa sisi kama wenyeji wa Kisiwa hichi
tunakaribisha wageni lakini ni LAZIMA wazingatie na waheshimu mila na
taratibu zetu na moja kati ya hizo mila zetu USHOGA haumo!
Kitendo cha kutaka kuleta vijana hawa mashoga hapa kisiwani kufanya
vitendo vyao kwa siku 14 mfululizo hakikubaliki kimaadili na tunawaunga
mkono wana Mafia na hasa wazazi ambao hawako tayari kuona watoto wao
wakishuhudia vitendo vya kishoga, utumiaji wa madawa ya kulevya ambavyo
ni si mila na desturi yetu kama waTanzania.
Kama mjuavyo Mafia ni kisiwa cha amani na ndio maana kimekuwa kinaongoza kwa utalii wa scuba diving duniani na tunaendelea kuwakaribisha watalii ambao wanakuja na kutuheshimu na wanaoelewa umuhimu wa kutunza mazingira ya kisiwa hichi.
Kisiwa hichi hakina uwezo wala fedha za kuweza kutoa huduma za afya kwa
watu wake iweje leo tamasha hili la mashoga 3,000 ambao itabidi wajisaidie
kwenye mashamba ya watu kwani hakuna public toilets za kuweza kuhimili
kishindo hichi.
Hivi kwa mfano mazingira yashachafuliwa ni sisi watu wa Kisiwa hiki ndio
tutasafisha au halmashauri? je wanazo pesa za kusafisha na kuokota toilet
papers zitakazo achwa na hawa Mashoga kwenye mashamba yetu?
Hospitali zetu hapa zinatia aibu na mbaya zaidi huduma za afya kwa mama
zetu na dada zetu wanapojifungua zipo katika hali duni, hivi kweli
mheshimiwa DC na timu yake wameona kwa sasa tunachohitaji ni hili Tamasha?
Kwa kawaida ya Mashoga hawatokaa sehemu moja hapa kisiwani na watataka
kwenda kufanya uchafu wao kwenye fukwe zetu hapa kisiwani, hivi Uongozi wa
Kisiwa hichi utatoa polisi wangapi kwa kila kundi la hawa mashoga kufanya
mambo yao? kwani sidhani kama wananchi watakaa na kushangilia vitendo
hivi vikifanyika hadharani.
Tungependa kuufahamisha umma kuwa hawa waandaji tamasha hili lilipofanyika kwenye kisiwa cha Skyros, watu walililalamika sana pamoja na kuwa Wagiriki wana mitizamo ya ku liberali kwenye mambo haya lakini hali ilikuwa mbya kiasi cha Polisi kuvamia na kusitisha lile Tamasha kwani lilikuwa linaelekea kuvujinka kwa amani.
Katika kipindi hichi ambacho tunaelekea kwenye Uchaguzi je ni kweli
Serikali inataka kuona uvunjikaji wa amani katika kipindi hichi
tunachoelekea kwenye Uchaguzi kwa kukubali hili tamasha la Mashoga?
Je jeshi la polisi linazo resources za kulinda mashoga 3,000 usiku na
mchana kwa siku saba mfulululizo?
Kwa nini mratibu wa hili Tamasha hili la Mashoga hataki kukutana na viongozi wa Kisiwa hichi na kuwaeleza kwa
kinagaubaga nia yake?
Maandaji wa Tamasha hili wamesema wamepata ushirikiano wa karibu na
kampuni ya uwindani na utalii inayojiita KARIBUSANA ambayo iko chini ya
Costa Coucoulis,Angela Damas,Chyrista Batou na Mark Evans ambao wanajiita
wahifadhi wa mazingira kwenye tovuti yao lakini wakati huo huo wako tayari
kuhakikisha kuwa mazingira ya kisiwa chetu yanachafuliwa na hawa wageni.
Je Mbunge na DC wa Kisiwa hichi watakuwa wanatekeleza ilani ya chama gani
kulikubali hili Tamasha la Mashoga?
Je wilaya iliyo masikini kuliko zote Tanzania inahitaji Tamasha la muziki
au tunahitaji miradi ya Maendeleo?
Je BASATA na Wizara ya Utalii wameamua
Ajali Ya Ndege Yauwa Wawili Tanga.



Sehemu ya ndege iliyopata ajali baada ya kutua barabarani kwa dharura na kugonga basi la watalii ambalo linaonekana juu kushoto likiwa limeanguka. Ajali hiyo ilitokea jana katika barabara ya Segera Tanga ambapo Marubani wote wawili waliokuwapo kwenye ndege hiyo walipoteza maisha.

Monday, June 28, 2010

Amakweli Dunia ina mambo cheki hapa !!

Napenda ku-share na wadau hii kitu wakati Tanzania ikiadhimisha siku kupinga vita madawa ya kulevya duniani. Yaani wapo watu kama hawa ambao muda wao wa kutafuta fedha ulishapita.Swali ni je, anatumiwa kwa ajili ya manufaa ya kwake au ya watu wengine?
Mdau wa Globu ya Jamii,
J.J. Lyimo
Bi Kizee mwenye umri wa miaka 94 akiwa kabambwa na kago la bangi lenye uzito wa kilo zaidi ya 10 akiwa kajifunga mwilini huko Nogales, Arizona, Marekani. Hii inadhihirisha kwamba sio tu kazi ya kubaini wanaosafirisha madawa ya kulevya si ndogo bali pia wanaofanya kazi hiyo si lazima wawe vijana
Ukaguzi ukianza
kago alilokutwa nalo bibi. Noma kweli kweli .

Mwenyekiti wa kamati ya Redds Miss Kinondoni Bw. Boy George wa pili kutoka kulia akiongea mbele ya waandishi wa habari leo kwenye mgahawa wa Hadees wakati alipotangaza zawadi kwa washindi watakaopatikana katika shindano hilo linalotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.
Boy George amesema mshindi wa kwanza katika shindano hilo atajinyakulia kitita cha shilingi milioni 1,500,000 zitakazotolea na wadhamini ambao ni Giraffe Ocean View Hotel wakati mshindi wa pili atapata shilingi milioni 1,000,000 zitakazotolewa na Tanga Beach Resort, mshindi wa tatu atapata shilingi laki 800,000 mshindi wa nne na wa tano watapata kiasi cha shilingi laki 300,000 kila mmoja na washiriki wengine kila mmoja atapata kifuta jasho cha shilingi 150,000.
Taji jipya la mrembo mwenye akili, kujiamini na uwezo wa kujieleza yaani Miss Rolls and Skills litatolewa na Jarida la Namba 10 na mshindi atapewa shilingi laki 500,000 na mshindi wa taji la kipaji atajipatia shilingi 200,000 wakati mrembo mwenye nidhamu atapata shilingi elfu 50,000.
Burudani itatolewa na Bendi ya THT na Sebene la nguvu kutoka bendi ya African Stars wana wa kutwanga na kupepeta, huku kiingilio katika shindano hilo kikiwa shilingi elfu 50,000 kwa VIP na shilingi 20,000 kwa viti vya kawaida.
Katika picha kulia ni Selemani Mbuguni mratibu habari wa shindano hilo na Rahma George mkurugenzi wa Miss Kinondoni wa tatu kutoka kulia pamoja na mwalimu wa warembo Lulu Ibrahim ambaye ndiye Miss Kinondoni 2009 pamoja na warembo wanaoshiriki shindano hilo.
Kwa msaada mkubwa wa blog ya John.



Msanii wa muziki nchini MR 11 ,JOSEPH MBILINYI .

Baada ya msanii MR 2 kukamatwa majira ya asubuhi leo hii katika ofisi za BASATA wakati wa PRESS TALK akiwa anaongelea masuala ya muziki, msanii huyo ameachiwa huru na kituo cha upelelezi cha polisi.
Akizungumza kwa njia ya SIMU 2 amesema alikamatwa na polisi baada ya mmoja wa viongozi wa radio clouds RUGE MUTAHABA kumshitaki mwanamuziki huyo kuwa anamtishia maisha kupia wimbo wake wa ANTI VIRUS.
MR 2 amesema baada ya kukamatwa alipelekwa katika kituo cha polisi cha upelelezi kwa ajili ya mahojiano,lakini baada ya muda MR 2 alitoka kwa kujidhamini mwenye.
Lakini mwamuziki huyo ametakiwa kuripoti tena kesho kutwa katika ofisi hizo kwa mahojiano zaidi. habari kwa hisani ya

Saturday, June 26, 2010

Zikiwa Zimebaki Siku 4 Kufikia Tarehe Ya Mwisho Kusajiri Namba Za Simu


Hali ilivyo vituoni..!
Mr Sugu, Mkoloni na G. Solo wajiunga CHADEMA
Wasanii maarufu wa muziki nchini Tanzania Joseph Mbilinyi aka Sugu lias Mr II, Fred Malick aka Mkoloni na Gerald Mwanjoka aka G. Solo wamejiunga rasmi na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kukabidhiwa kadi zao za uanachama. Tukio hilo limechukua nafasi katika Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA, zilizopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Pichani ni wanamuziki hao na Kaimu Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mnyika.
Mwanamuziki wa kizazi kipya Joseph Mbilinyi Mr Sugu akipokea katiba ya CHADEMA, kutoka kwa Kaimu Katibu Mkuu wa chama hicho, baada ya kujiunga rasmi na chama hicho jana katika Makao Makuu ya CHADEMA, Kinondoni, jijini Dar. Chanzo, habari Zaidi na picha:
BOFYA HAPA
kibajaji....
Mambo vp kijana !
Leo natoka zangu Tanga kuja Dr mida ya
mchana nimekutana na hii mitaa ya Msata.
Je Matrafik mpo au hii inaruhusiwa???
Mdau Jamal
Sent from my BlackBerry® smartphone

MIAKA 3 TOKA AMINA CHIFUPA ATUTOKE
LEO NI MIAKA 3 KAMILI TOKEA MH. AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIA (PICHANI) ATUTOKE. KIFO CHAKE, KILICHOTOKEA GHAFLA, KILITIKISA NCHI NZIMA NA WATANZANIA WOTE KWA JUMLA YAO WALIBAKI MIDOMO WAZI KWA KUONDOKEWA NA MBUNGE HUYU KIJANA ALIYEJIPATIA UMAARUFU KWA MENGI, KUBWA LIKIWA MSIMAMO WAKE WA KUPAMBANA NA JANGA LA MADAWA YA KULEVYA. NA LEO, IKIWA NI SIKU YA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA, GLOBU HII INAJIUNGA NA WANAHARAKATI KAMA AMINA CHIFUPA KUADHIMISHA SIKU HII HUKU TUKIMKUMBUKA MWAHARAKATI HUYU.
ASUBUHI HII KUTAKUWA NA HAFLA YA KUADHIMISHA SIKU YA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA KITAIFA ITAYOANDALIWA NA TUME YA MADAWA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA ITAYOFANYIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA AMBAPO MGENI RASMI ANATARAJIWA KUWA WAZIRI WA NCHI UTAWALA BORA MH. PHILIP MARMO. HAPANA SHAKA JINA LA AMINA CHIFUPA LITAKUMBUKWA



Seatbelt broken? I
can fix that!


cid:D787553BE432442E9D872F24E35D6A9B@computer21f76e


New TV too big for the old
cabinet? I can fix that!


cid:09331C58850B4EF781E3C8FC6DEA72C4@computer21f76e


No bottle opener? I can fix
that!


cid:5EFA3F8E827F4DABBCD159F4D4E66438@computer21f76e


Room too dark using compact
fluorescents? I can fix that!


cid:B7DD45F8EE094463B0DF465DD187D7BA@computer21f76e



Electrical problem? I
can fix that!


cid:58625903DDD844B39371B00CFFD6ECE2@computer21f76e

Car stereo stolen? I can

fix that!


cid:FBBAABC28E3C48D39424E48E723847D2@computer21f76e


Bookshelf cracking under the weight?
I can fix that!

cid:D515115F0E2C43B48B3E4E70CFDFD00A@computer21f76e


Can't afford a real GPS? I
can fix that!




No ice chest? I can
fix that!


cid:CCA068183F8448A598B7184D03D57025@computer21f76e

Can't read the ATM screen? I

can fix that!



cid:3969173B9AB34353A31360DFFBE683BD@computer21f76e

Car imported from the wrong country?

I can fix that!



cid:37A167AAF69A4351A82DE3B8BB9AD44A@computer21f76e



Satellite go out in the rain? I

can fix that!

cid:4F4134FE5E8F48659D3BF348C559AA46@computer21f76e



Electric stove broken & can't heat coffee? I fixed that.

cid:EE4E26011A304D0CAF3E32D2209C26FA@computer21f76e



Wiper motor burned out? I
can fix that!



cid:C32EC9E9E2E4496EA1C76853F3B7782C@computer21f76e


WTF?

cid:993DBE2F13BF407195E6F7E643EBC88B@computer21f76e

Display rack falling over? I

can fix that!

cid:348AD532D5C34DBAB550EFFD1D1AD1D2@computer21f76e





Desk overloaded? I can fix
that!


cid:B4EB11A683654B5488BAD389E63290E3@computer21f76e



Car can't be ordered with the "Woody"
option? I can fix that!



cid:93B41C9313494C8298F2AB09D0EB10FA@computer21f76e


Exhaust pipe dragging? I

can fix that!



cid:7D1429D26E734E05BA58652C3404BCEB@computer21f76e


Gotta feed the baby AND do the
laundry? I can fix that!



Cables falling behind the desk?
I can fix that!


cid:D747084EF516463A846CC8AD2FFCB4A2@computer21f76e

No skate park in town? I can


cid:8E13EC6C4F4C4D90ACCA47B5AD9B7000@computer21f76e

Friday, June 25, 2010

To d a y 's j o k e
______________________

An elderly gent was invited to his old friends' home for dinner
one evening. He was impressed by the way his buddy preceded every
request to his wife with endearing terms - "Honey," "My Love,"
"Darling," "Sweetheart," "Pumpkin," etc.

The couple had been married almost 70 years and, clearly, they
were still very much in love.

While the wife was in the kitchen, the man leaned over and said
to his host,

"I think it's wonderful that, after all these years, you still
call your wife those loving pet names."

The old man hung his head. "To tell you the truth," he said, "I
forgot her name about 10 years ago!

Look this you may laugh !!









Thursday, June 24, 2010

9 Seater Chinese Bike



FunFunky.com
Jocelyn married William this day. At the end of the wedding party, Jocelyn's mother gave her a newly opened bank saving passbook. With $1000 deposit amount.
Mother: 'Jocelyn, take this passbook. Keep it as a record of your marriage life. When there's something happy and memorable happened in your new life, put some money in. Write down what it's about next to the line. The more memorable the event is, the more money you can put in. I've done the first one for you today. Do the others with William. When you look back after years, you can know how much happiness you've had.'

This was what they did after certain time:
- 7 Feb: $100, first birthday celebration for William after marriage
- 1 Mar: $300, salary raise for Jocelyn
- 20 Mar: $200, vacation trip to Bali
- 15 Apr: $2000, Jocelyn got pregnant
- 1 Jun: $1000, William got promoted
.... And so on...


However, after years, they started fighting and arguing for trivial things. They didn't talk much. They regretted that they had married the most nasty people in the world.... No more love...Kind of typical nowadays, huh?
One day Jocelyn talked to her Mother: 'Mom, we can't stand it anymore. We agree to divorce. I can't imagine how I decided to marry this guy!!!'
Mother: 'Sure, girl, that's no big deal. Just do whatever you want if you really can't stand it. But before that, do one thing first. Remember the saving passbook I gave you on your wedding day? Take out all money and spend it first. You shouldn't keep any record of such a poor marriage.'
Jocelyn thought it was true. So she went to the bank, waiting at the queue and planning to cancel the account. While she was waiting, she took a look at the passbook record. She looked, and looked, and looked. Then the memory of all the previous joy and happiness just came up her mind. Her eyes were then filled with tears. She left and went home. When she was home, she handed the passbook to William, asked him to spend the money before getting divorce.
The next day, William gave the passbook back to Jocelyn. She found a new deposit of $5000. And a line next to the record: 'This is the day I notice how much I've loved you thru out all these years. How much happiness you've brought me.'


They hugged and cried, putting the passbook back to the safe. Do you know how much money they had saved when they retired? I did not ask. I believe the money did not matter any more after they had gone thru all the good years in their life.
"When you fall, don't see the place where you fell, instead see the place from where you slipped. Life is about correcting mistakes."