Wednesday, June 30, 2010

JK awasili Dodoma leo
wana CCM na wakazi wengine wa mjini Dodoma wakishuhudia ndege ya JK ikitua uwanja wa ndege wa mjini Dodoma. JK yuko mjini Dodoma tayari kwa kurudisha fomu za udhamini wa kugombea urais kupitia chama tawala cha CCM. Zoezi hili linategemewa kufanyika kesho tarehe 1 Julai 2010.

No comments: