Wednesday, June 30, 2010

shangingi lapiga mweleka maeneo ya manga mkoani tanga

Bro Kadidi,
"ndege" nyingine "ilianguka" sehemu hizo hizo za Manga Mkoani Tanga siku kadhaa zilizopita.Mwendo kasi sana wa shangingi-ndege ulisababisha gari kupaa na kugonga nguzo ya TANESCO iliyopo mlimani , na baadaye shangingi hilo kutua mtaroni.Abiria wote walipona.
Mshuhudiaji
Mdau Lawrence

No comments: