Amakweli Dunia ina mambo cheki hapa !!
Napenda ku-share na wadau hii kitu wakati Tanzania ikiadhimisha siku kupinga vita madawa ya kulevya duniani. Yaani wapo watu kama hawa ambao muda wao wa kutafuta fedha ulishapita.Swali ni je, anatumiwa kwa ajili ya manufaa ya kwake au ya watu wengine?
Mdau wa Globu ya Jamii,
J.J. Lyimo
J.J. Lyimo

No comments:
Post a Comment