Monday, June 28, 2010

Amakweli Dunia ina mambo cheki hapa !!

Napenda ku-share na wadau hii kitu wakati Tanzania ikiadhimisha siku kupinga vita madawa ya kulevya duniani. Yaani wapo watu kama hawa ambao muda wao wa kutafuta fedha ulishapita.Swali ni je, anatumiwa kwa ajili ya manufaa ya kwake au ya watu wengine?
Mdau wa Globu ya Jamii,
J.J. Lyimo
Bi Kizee mwenye umri wa miaka 94 akiwa kabambwa na kago la bangi lenye uzito wa kilo zaidi ya 10 akiwa kajifunga mwilini huko Nogales, Arizona, Marekani. Hii inadhihirisha kwamba sio tu kazi ya kubaini wanaosafirisha madawa ya kulevya si ndogo bali pia wanaofanya kazi hiyo si lazima wawe vijana
Ukaguzi ukianza
kago alilokutwa nalo bibi. Noma kweli kweli .

No comments: