Saturday, July 31, 2010

Kida Waziri Juma Karudi tena Uwanjani





Ni mmoja ya wanamziki wanawake wachache sana ! ambao wamezaliwa na vipaji mwanadada Kida Waziri,
maarufu kama "Stone Lady" ambaye ana sauti ya kumtoa nyoka pangoni!.
Mwanamziki Kida Waziri ni mjukuu wa Mshairi maarufu barani Afrika marehem Shaban Robert,pia ni mtoto aliyekuwa mwanadiplomasia miaka ya 70s na 80s balozi Bw.Waziri Juma.
Habari za uhakika zinasema kuwa Dada Kida Waziri karudi umpya katika ulimwengu wa mziki baada ya kumpumzika kwa miaka,Mwanamziki Kida Waziri "Stone Lady" ambae amerudi na Album ya nyimbo 6,ambayo inamziki uliojaa mdundo na sauti ambayo ni almasi tupu.....
Labda ungependa kuwa moja ya wadhamini ,au Kufanya Kazi na mwanamziki huyo Kida "Stone Lady" Waziri.
Mwanadada huyo yupo tayari kupiga Tour ya ndani na nje ya Tanzania
anapatikana kwa simu namba 0754697114 ukipiga nje ya Bongo Tel. + 255(0)754697114

Friday, July 30, 2010

Fashion 4 Health with the Vodacom Foundation

All set for the Black and Gold Gala event

Top Models to Grace the Show

Fashion For Health in aid of the Zanzibar Mental Hospital

VODACOM Tanzania, through Vodacom Foundation, will this year sponsor a charity fashion show (Fashion 4 Health black & gold gala night) by Mustafa Hassanali in aid of the Zanzibar Mental hospital in Zanzibar on July 30th.

The show is being in Zanzibar for the third year in a row and is organized by Explore Zanzibar.

“This is the third year in a row, we Hosting the Islands Premier and Biggest Fashion Show with Mustafa Hassanali , and we are All ready for Fridays Nights Gala SoirĂ©e”, said Maryam Olsen, Managing Director of Explore Zanzibar.

To support her calling, Vodacom Foundation and Mustafa Hassanali have joined forces to create a synergy that will benefit various people at the Zanzibar mental hospital.

“With The Best in Names from the Fashion Industry, Its My Responsibility as a creative entrepreneur to Give back to the Society in the smallest way possible, and together with various individuals From the Tanzanian Fashion Fraternity we lead the way”, stated Mustafa Hassanali, who together with Explore Zanzibar supports the work of the Mental Hospital of Zanzibar (Kidongo Chekundu).

Mustafa Hassanali, Tanzania’s most renowned fashion designer shall unveil his new creations Aptly named “Karafuu” inspired by the Cloves of Zanzibar at Zanzibar Serena Inn in Stone Town, with models from Dar es Salaam Like M’Net Face of Africa 2010 finalist Lillian Mduda, Kisura Tanzania 2009 Winner Diana Ibrahim amongst other top models and Former beauty queens. Also Part of this Event is Renowned Tanzanian Hair and Make up Artiste Rehema Samo.

Zanzibar’s renowned designer, Farouque Abdella shall curtain raise the event together with MAGO Designs who represent Best of the Zanzibar Fashion Brand names.

Tanzanite Band, from Dar es Salaam will provide the live band music and tunes for the Zanzibari Fashionistas to Party the Night away which shall be hosted by Celebrity Radio Presenter Babbie Kabaye

“Charity begins at Home and if we Do not support our Own people and institutions, whom are we waiting for then? It’s the Small steps that count and am Honoured that Maryam Olsen and Zanzibaris Have given me the Opportunity to Lead the way by taking that Step” stated Mustafa Hassanali.

The Fashion 4 Health with the Vodacom Foundation Black and Gold Gala, has been sponsored by The Vodacom Foundation, PSI (Population Service International) African Life Assurance, Zanzibar Serena Inn , Explore Zanzibar, 361 Degrees Events and Vayle Springs LTD

Thursday, July 29, 2010

uchaguzi viti maalum mkoa wa dar
Mgeni rasmi ambaye ni Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Dar es salaam,Mh Abdulrahman Kinana akiteta jambo na Mwenyekiti wa UWT Taifa Mh. Sophia Simba.
Mmoja wa washindi waliochaguliwa,Bi. Ritah Mlaki akishangilia mara baada ya kutangazwa kuwa mmoja wa washindi watano katika Matukio mbalimbali yaliyofanyika jana jijini kwenye uchaguzi wa Wagombea kupitia UWT kwenye mkutano Mkuu Maalum Wa uchaguzi Mkoa wa Dar es salaam uliofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika viwanja vya Sabasaba.
Katika uchaguzi huo wajumbe wa UWT waliwachagua wawakilishi wa makundi mbalimbali kwa ajili ya VITI MAALUUM, Mwenyekiti wa UWT Mkaoni Dar es salaam Zarina Shamte Madabida alikuwa mshindi wa kwanza. na kufuatiwa na Ritah Mlaki, Mkutano huo ulifunguliwa rasmi na Mlezi wa Chama mkoa wa DSM Abdulrahman Kinana, na kuhudhuriwa na MWenyekiti wa UWT Taifa Sophia Simba.
Mgombea wa Viti Maalum Janeth Masaburi akiomba kura kwa wanachama.
Wanachama wakigawiwa karatasi kwa ajili ya kupiga kura.

(picha zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)
JK aapisha manaibu katibu wakuu leo
JK katika picha ya pamoja ya Manaibu Katibu Mkuu wa wizara mbalimbali baada ya kuwaapisha leo Ikuku jijini Dar. Picha na Mwanakombo Jumaa wa MAELEZO

Wednesday, July 28, 2010

FFU kupereka mzuka wa dansi FRANKFURT !





Ngoma Africa Band kukiwasha cha moto ! Afrika-Karibik Festival, Frankfurt
Bend maarufu ya mziki wa dansi barani ulaya "The Ngoma Africa Band" aka FFU
wanatarajiwa kutua kwa nguvu zote !katika onyesho kubwa la Afrika & Karibik Festival,
litakalofanyika katika Viwanja vya Robestock Park, Frankfurt,Ujerumani siku ya Jumamosi
07-08-2010 maelfu ya washabiki wa mziki nchini ujerumani wanaisubiri bendi hiyo kwa hamu kubwa...
kutokana na mdundo wake unaochezeka.
habari zinatonya kuwa bendi hiyo pia itatingisha jukwaa katika onyesho lingine kubwa
la Festival mjini keiserslautern,Ujerumani siku ya Jumapili 8-08-2010 ambako katika kila
hali washabiki wapo tayari kwenda sambamba na gwaride la FFU wa Ngoma Africa band.
usikose kujipa raha mwenyewe kwa kuwasikiliza hapa www.myspace.com/thengomaafrica

Monday, July 26, 2010

JK in Kampala for the 15th African Union Summit


President Jakaya Mrisho Kikwete inspects guard of honor mounted by the Uganda People’s Defense Forces(UPDF) shortly after he arrived in the Ugandan Capital Kampala for the 15th African Union Summit yestarday afternoon. President Jakaya Mrisho Kikwete in conversation with Tanzanian Foreign Affairs Minister, Bernard Membe during the ongoing 15th African Union Summit at Munyonyo Speke Resort in Kampala.President Jakaya Mrisho Kikwete and the First Lady Mama Salma Kikwete receive bouquet of flowers upon arrival in Kampala for the 15th African Union Summit yestarday afternoon.(photo by Freddy Maro)

Saturday, July 24, 2010

Hivi Kumbe Juma Nature Msusii...?




Nyota wa Bongo Flava Kassim Kiroboto aka Juma Nature(aliyesimama) akijaribu kusuka nyewle msanii mwezanke CPWAA kutoka Park Lane .Ni miaka mitatu iliyopita Leaders Club Kinondoni jijini Darisalaam. Licha ya ususi huu , C-PWAA ni msanii ambaye huwa anapenda kusuka nywele zake kwa mitindo tofauti tofauti.Picha na Mdau king Kif

Friday, July 23, 2010


Dear Dad

Berlin is wonderful, people are nice and I really

like it here, but Dad, I am a bit ashamed to arrive

at my college with my pure-gold Ferrari 599GTB

when all my teachers and many fellow students

travel by train.


Your son, Nasser

The next day, Nasser gets a reply to his e-mail

from his dad:



My dear loving son

Twenty million US Dollar has just been transferred

to your account. Please stop embarrassing us.

Go and get yourself a train too.



Love, your Dad


Swimming pool disinfectants 'can cause asthma, cancer'

Negative outcomes can occur when disinfection byproducts, critical to prevent outbreaks of infectious disease of recreational pools, form reactions with organic matter in pool water. File Photo: Nagara Gopal

Negative outcomes can occur when disinfection byproducts, critical to prevent outbreaks of infectious disease of recreational pools, form reactions with organic matter in pool water. File Photo: Nagara Gopal

A dip in the pool on a hot summer day might not be as safe as you thought-the application of disinfectants in recreational pools can lead to asthma and bladder cancer, according to a recent University of Illinois study.

Not only is swimming fun, but it’s also a popular form of exercise in many countries.

Thus, disinfection of recreational pools is critical to prevent outbreaks of infectious disease. However, Michael Plewa, University of Illinois professor of genetics, said negative outcomes can occur when disinfection byproducts form reactions with organic matter in pool water.

Pool water represents extreme cases of disinfection that differ from the disinfection of drinking water as pools are continuously exposed to disinfectants.

“All sources of water possess organic matter that comes from decaying leaves, microbes and other dead life forms. In addition to organic matter and disinfectants, pool waters contain sweat, hair, skin, urine, and consumer products such as cosmetics and sunscreens from swimmers,” said Plewa. These consumer products are often nitrogen-rich, causing concern that they may contribute to the generation of nitrogenous disinfection byproducts, Plewa added. When mixed with disinfectants, these products may become chemically modified and converted into more toxic agents. These disinfection byproducts can mutate genes, induce birth defects, accelerate the aging process, cause respiratory ailments, and even induce cancer after long-term exposures.

In this study, collections from public pools and a control sample of tap water were evaluated to identify recreational water conditions that could be harmful to your health.

The study compared different disinfection methods and environmental conditions. Results proved that all disinfected pool samples exhibited more genomic DNA damage than the source tap water, said Plewa.

“Care should be taken in selecting disinfectants to treat recreational pool water. The data suggest that brominating agents should be avoided as disinfectants of recreational pool water. The best method to treat pool waters is a combination of UV treatment with chlorine as compared to chlorination alone,” advised Plewa.

Source: thehindu.com/ health/policy- and-issues/ article528391. ece

Wednesday, July 21, 2010

wosia wa baba wa taifa

mwisho mwampamba alivyoingia Big Brother Africa All Stars na wenzie
madiba akumbukwa big brother africa all stars

Advantages and Disadvantages of Laser Hair Removal

BREKING NYUUUUUZZZZZ: CHADEMA YAMTANGAZA RASMI DK. SLAA MGOMBEA WAKE WA URAIS LEO
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe akitangaza rasmi leo kuwa Kamati Kuu ya Chama hicho imemteua Katibu Mkuu wao Dk. Wilbroad Slaa kuwa mgombea wao wa Urais katika uchaguzi mkuu ujao katika mkutano na wanahabari makao makuu ya chama huko Kinondoni jijini
waandishi na baadhi ya wanachama wa CHADEMA wakimsikiliza Mh. Mbowe

Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Mh. Zitto Kabwe akitoa ufafanuziw a jambo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa gazeti la MwanaHalisi Saeed Kubenea baada ya mkutano huo leo


MWENYEKITI WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) MH. FREEMAN MBOWE LEO AMETANGAZA RASMI KWAMBA CHAMA HICHO KITAMSIMAMISHA KATIBU MKUU WAKE DK. WILBROAD SLAA KUGOMBEA KITI CHA URAIS KWENYE UCHAGUZI MKUU MWEZI OKTOBA MWAKA HUU.

MH. MBOWE AMESEMA MCHANA HUU KWENYE MAKAO MAKUU YA CHADEMA YALIYOKO KINDONDONI JIJINI DAR KWAMBA KWA KAULI MOJA KAMATI KUU YA CHADEMA ILIYOMALIZA VIKAO VYAKE JANA IMEKUBALIANA KWA KAULI MOJA KUMUOMBA DK. SLAA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS, NA KWAMBA NAYE AMEKUBALI.

MBOWE AMEPANGUA HOJA KIBAO ZILIZOKUWA ZIKIPIGIA UKOPE UAMUZI WA CGHADEMA KUMPA DK. SLAA NAFASI HIYO AMBAYO MOJA KWA MOJA ATAKUWA HATETEI TENA KITI CHAKE CHA UBUNGE CHA KARATU, NA KWAMBA ENDAPO ATAKOSA URAIS ATAKUWA KAMALIZIKA KISIASA.

"OCTOBA 31 DK. SLAA ATAKUWA RAIS WA NCHI HII SASA UNAPOSEMA ATAKUWA AMEJIMALIZA KISIASA UNA MAANA GANI AMA NDIO UNAJIMU WENU AMBAO MMESHAUANZA.

"DK. SLAA NI MTU MAKINI NA MWENYE SIFA ZOTE ZA SIO TU KUWA RAIS BALI PIA KULETA MABADILIKO MAKUBWA AMBAYO NCHI HII INAYAHITAJI LAKINI HAKUNA WA KUTEKELEZA", ALISEMA MH. MBOWE KWA KUJIAMINI HUKU AKISHANGILIWA NA BAADHI YA WANACHAMA WALIOHUDHRIA MKUTANO HUO NA WANAHABARI.

MWENYEKITI HUYO WA CHADEMA PIA AMEKANUSHA VIKALI UVUMI KWAMBA DK. SLAA AMETUMWA NA KANISA LA DINI FULANI KUGOMBEA HUO URAIS, NA KUDAI HUO NI UMBEA WA BAADHI YA MAGAZETI AMBAYO KADAI AIDHA WAANDISHI AMA WAMILIKI WANATUMIKA KUKIPAKA MATOPE CHADEMA.

"kUNA VYOMBO VYA HABARI AMBAVYO VINABAKA WANANCHI KWA KUANDIKA HABARI ZA UMBEA NA KUPOTOSHA KWA MANUFAA YAO (WAANDISHI BINAFSI) AMA WAMILIKI WA VYOMBO HIVYO.

"NAOMBA BAADHI YA WAANDISHI WENYE TABIA HIYO WAIACHE WASIJE WAKAIPELEKA NCHI PABAYA", ALISEMA MH. MBOWE HUKU MEZA KUU WALIYOKETI VIONGOZI WAANDAMIZI WA CHADEMA AKIWEMO NAIBU KATIBU MKUU MH. ZITTO KABWE, WAKITIKISA VICHWA KUUNGANA NA KAULI ZAKE.

KUHUSU UBUNGE JIMBO LA KARATU ATALOACHA WAZI DK. SLAA MWENYEKITI WA CHADEMA KASEMA WAO HAWANA WASIWASI KWANI HAKUNA CHAMA CHENYE YBAVU WA KUTWAA KITI KATIKA JIMBO HILO AMBALO ALIONGEZEA KWAMBA HALMASHAURI YAKE YA WILAYA IMEKUWA IKONGOZWA NA CHADEMA KWA MIAKA 10 SASA.

"DK SLAA PAMOJA NA KUWA CHACHU KUBWA YA USHINDI WA CHADEMA KARATU LAKINI SI YEYE PEKEE MWENYE UMUHIMU MKUBWA KULE JIMBONI. KUNA VIONGOZI WENZIE NA WANANCHI AMBAO KWA PAMOJA NDIO WALIOIFANYA CHADEMA ISIMAME.

"HIVYO KAA UKIHJUA TAYARI KUNA MGOMBEA MAKINI AMESHAANDALIWA NA ATAFANYA MAKUBWA KAMA ALIYOFANYA DK. SLAA", ALIFAFANUA.

Tuesday, July 20, 2010


HR = High Risk ( Office Humor )


After 2 years of selfless service, a man realized that he has not been promoted, no transfer, no salary increase no commendation and that the Company is not doing any thing about it. So he decided to walk up to his HR Manager one morning and after exchanging greetings, he told his HR Manager his observation. The boss looked at him, laughed and asked him to sit down saying;
My friend, you have not worked here for even one day.
Manager:- How many days are there in a year?
Man:- 365 days and some times 366
Manager:- how many hours make up a day?
Man:- 24 hours
Manager:- How long do you work in a day?
Man:- 8am to 4pm. I.e. 8 hours a day.
Manager:- So, what fraction of the day do you work in hours?
Man:- (He did some arithmetic and said 8/24 hours I.e . 1/3(one third)
Manager:- That is nice of you! What is one-third of 366 days?
Man:- 122 (1/3x366 = 122 in days)
Manager:- Do you come to work on weekends?
Man:- No sir

Love Humor? Join our Group Funzug!
Manager:- How many days are there in a year that are weekends?
Man:- 52 Saturdays and 52 Sundays equals to 104 days
Manager:- Thanks for that. If you remove 104 days from 122 days, how many days do you now have?
Man:- 18 days.
Manager:- OK! I do give you 2 weeks sick leave every year. Now remove that14 days from the 18 days left. How many days do you have remaining?
Man:- 4 days
Manager:- Do you work on New Year day?
Man:- No sir!
Manager:- Do you come to work on workers day?
Man:- No sir!
Manager:- So how many days are left?
Man:- 2 days sir!
Manager:- Do you come to work on the (National holiday )?
Man:- No sir!
Manager:- So how many days are left?
Man:- 1 day sir!
Manager:- Do you work on Christmas day?
Man:- No sir!
Manager:- So how many days are left?
Man:- None sir!
Love Humor? Join our Group Funzug!

Manager:- So, what are you claiming?
Man:- I have understood, Sir. I did not realise that I was stealing Company money all these days.
Moral - NEVER GO TO HR FOR HELP!!!
HR=HIGH RISK
**********

Saturday, July 17, 2010

LOVE LETTER BY AN ACCOUNTANT


In the Journal of my heart,
I have written a Journal Entry,
Debiting my love & crediting my affection,
Now partner, you write the Narration.


Your beauty is the Capital of our business,
And your eyes are Stock In Trade,
Now let us enter into a Transaction,
Without providing Depreciation.


Your first love I have already indicated,
On the Ledger Folio column,
Any way, our relations are based on,
Double Entry System.


Our love is Real & Tangible,
Which can be realized,
Interest on the same,
Can be capitalized.


Partner, you are like a Contra Entry,
You are on my Debit Side & Credit Side,
Both at the same time,
Can it be posted into Ledger, that now you decide.


And so my partner now let us Rectify,
All our errors & total the Trial Balance,
Of our affairs & emotions,
Without maintaining any Suspense Account.


And any difference in the Trial Balance,
In the Balance Sheet of our life,
Our children will be Assets & Liabilities,
If they are boys, shall we call them Sundry Debtors?
If they are girls, shall we call them Sundry Creditors?


But if we have a boy & a girl,
Our Balance Sheet will Tally automatically,
And the Auditor will certify like this,
"THE ACCOUNT SHOWS A TRUE & FAIR VIEW OF LOVELY BUSINESS CONDUCTED DURING LIFE'S ACCOUNTS".
internet bei poa Vodacom.....
Ni Robo Tu Ya Wanaume Wa Dar Wenye Mbegu Zenye Rutuba


IMEFAHAMIKA, kuwa idadi ya wanaume wa Kitanzania wenye mbegu za uzazi zisizorutubisha hivyo kutoweza kurutubisha yai la mwanamke na kusababisha mimba inaongezeka. Kwa mujibu wa gazeti la ‘ The Citizen’ toleo la Jumamosi ( Leo), Julai 17,2010 zaidi ya asilimia 35 ya wanaume wanaofanya vipimo vya rutuba za mbegu za uzazi wamegundulika kuwa hawana.

Mara nyingi lawama za kukosa mtoto katika familia zimekuwa zikielekezwa kwa mwanammke kutokana na .... Soma zaidi; http://www.kwanzajamii.com
Dawa Ya UKIMWI Na Mapenzi Ya Ovyo Ovyo!


Ndugu Watanzania,

Tumepata habari za kuaminika kutoka vyombo vya habari kutoka Marekani na WHO kwamba.

WANASAYANSI nchini Marekani wamegundua chembechembe za kinga ambazo zinauwezo mkubwa wa kupambana na kuua virusi vya ugonjwa wa Ukimwi ambao hadi sasa hauna chanjo wala tiba ya uhakika.

Ugunduzi huo tayari umethibitishwa na wataalamu mbalimbali, ikiwemo Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Marekani.

Vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa vimeripoti kuhusu ugunduzi huo ambao unaelekea kutoa mapambazuko mapya kwa ugonjwa huo hatari ambao umekuwa ukiathiri nguvu kazi sehemu mbalimbali duniani, hususan nchi zinazoendelea.

Wanasayansi hao wa Taasisi ya Magonjwa ya Kuambukiza na Mzio (Niaida) walieleza katika taarifa yao ya wiki iliyopita kuwa... Soma zaidi; http://www.kwanzajamii.com

7 Golden Rules


7 Golden Rules