Monday, July 12, 2010

Natafuta nyumba ya kupanga

Habari Wadau,


Natafuta nyumba ya kupanga iwe na vyumba 3 au 2 iwe na sitting room, dinning room na iwe na geti pamoja na car parking area. Kwa ufupi nyumba iwe ktk hali nzuri.


Mahala iwe Sinza, Dar es salaam.


Kama una amini unayo taarifa tafadhali nipigie simu kupitia 0754 935260.


Nashukuru.

No comments: