Tuesday, April 20, 2010

Rais Kikwete pichani !!


Ra
Rais wetu wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania naye kidogo dhahama ya majivu ya volcano yaliyotanda bara la ulaya yatamchelewesha kuja nyumbani. Kwa sasa yuko nchini Marekani kwa shughuli za kitaifa.

No comments: