Friday, March 28, 2008

kibaka abambwa akitaka kufanya Tukio !!


wananchi wenye hasira wakimsulubu jamaa anayesadikiwa kuwa ni kibaka baada ya mtu aliyetaka kumchomolea pesa mfukoni kumshtukia na kuanza kupambana naye sasa hivi mtaa wa samora avenue.

jamaa wakiendelea kumwadhibu mtuhumiwa huyo huku jamaa aliyepigwa poketi (mtasha, shati bluu) akijisachi

kwa kuogopa shari jamaa aliyetaka kupigwa poketi anaamua yaishe na kuanza mbele akiwaachia wadau wamalizne na kibaka ambaye hatimaye aliachiwa. siku za karibuni vibaka wamekuwa wengi sana maeneo y katikati ya jiji ambako inabidi doria iimarishwe..

No comments: