Saturday, March 29, 2008

choki na werrason


kiongozi mpya wa bendi ya tot ali choki akiwa na mwanamuziki mahiri wa kongo werrason wakati choki alipokuwa kinshasa kusaka wanamuziki kwa ajili ya bendi yake hivi karibuni. choki amesharejea na wanamuziki takriban wanne na sasa wako kambini wakijifua kabla ya kutoka upya

No comments: