Wednesday, March 26, 2008

Mh Spika Atimiza Miaka 40 ya ndoa !!


Spika wa Bunge Samule Sitta na mkewe Margaret ambaye ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto,wakikata keki wakati wa sherehe ya miaka 40 ya ndoa yao zilizofanyika nyumbani kwao Kimara jijini Dar es Salaam jana.

No comments: