Saturday, September 20, 2008

yanga na simba enzi hizo
nahodha wa yanga yusuf bana akijaribu kumthibiti zamoyoni mogella 'golden boy' huku muhidin cheupe akivijari pembeni katika mojawapo ya mechi za watani hao wa jadi. mwaka huu wanacheza oktoba 26 na sidhani kama kuna mdau anayeweza kutabiri nani atashinda

No comments: