Friday, September 26, 2008

Blue Finance waikabidhi Polisi Pikipiki
Waziri wa Mambo ya Ndani Nchi Lawrence Masha (kushoto) akipanda moja ya pikipiki zilizotolewa na Kampuni ya BlueFinancil ya Jijini Dar es Salaam kwa Polisi, Katikati ni Mwenyekiti wa Kundi la Makampuni ya Synarge Navin Kanabar na kulia ni Mkuu wa Polisi Tanzania (IGP) Saidi Mwema. Makabidhiano hayo yalifanyika juzi jijini Dar es Salalaam.

No comments: