Saturday, September 27, 2008

precision air yafuturisha mawakala wake wa dar


Imam Haroub Hamis akiomba dua baada ya kumaliza kufturu jioni hii
Kutoka shoto ni meneja wa precision air Bw.Omar Othman,Shehe Haroub Hamis ambaye ni imam wa msikiti wa Ibad Rahman Ilala Bungoni,kaka nanihiiii pamoja na ustadhi Hala wakipata ftari leo jioni viwanja vya karimjee


baadhi ya wageni waalikwa wakipata ftari safi kabisa iliondaliwa na shirika la ndege ya Precision air

Ftari ilikuwa safi kabisa



Baadhi ya wafanyakazi wa shirika la ndege la precision air pamoja na wageni waalikwa wakipakuliwa ftari jioni hii viwanja vya karimjee


Mambo ya ftari haya ilioandaliwa na shirika la ndege la Precision air leo jioni viwanja vya karimjee




Shirika la ndege la Precision air leo jioni iliandaa ftari kwa ajili ya Travel agents waliopo jijini Dar iliofanyika kwenye viwanja vya Karimjee
















shukrani sana michuzijr.blogspot.com

No comments: