Monday, September 29, 2008

Hii ni Dar es Salaam
Mkazi wa Kigogo mwisho Dar es Salaam akichota maji kwenye bomba la maji lililopasuka katikati ya mreji wa maji taka unaopita eneo hilo jana. Uchotaji maji wa namna hii ni hatari maana amiminapo maji hayo katika ndoo nyingine hudondokewa na matone ya maji taka.

No comments: