Friday, September 26, 2008

Ujenzi unao bagua
Mkazi wa jiji la Dar es Salaam (kushoto) akimwangalia mtu mwenyeulemavu aliyekuwa akishuka ngazi za kuingilia katika ofisi za Mahakama ya Kazi zilizopo katika jingo la NSSF jijini Dar es Salaam jana. Usumbufu kama huu unawapata walemavu wengi wanaotembelea majengo mengi nchini ambayo hayana njia maalum za kuingilia walemavu ni vyema mamlaka husika na wakandarasi wakazingatia mahitaji ya watu wenyeulemavu katika ujenzi.

No comments: