Friday, September 26, 2008

bushoke aja na dunia njia


Msani wa muziki wa kazazi kipya aitwaye Bushoke tayari amekwisha ikamilisha albamu yake mpya itakayojulikana kwa jina la Dunia njia itakayokuwa na jumla ya nyimbo 12.Bushoke mpaka sasa amekwisha zirusha singo zake mbili kwenye vituo kadhaa vya redio hapa jijini na zinafanya vyema ile mbaya,singo hizo ni Dunia njia pamoja na rain on me.


Bushoke amezitaja nyimbo zilizomo ndani ya albamu hiyo zilizotawaliwa na maudhui ya taratibu, kwani ndani yake kuna miondoko ya Zouk, RnB, Dansi, reggae na ina zina beat flani za African Rhythm, kuwa ni Acha Mapenzi Yaongee, Dunia Njia, Hallo, Kama, Koka Kola, Mapenzi Yaongee, Nimekuchagua Wewe, Nimeshafika, Wanashindwa Lala, Rain On Me, Angel

No comments: