Friday, September 26, 2008

Mabomu yatumika Taifa
Askari wa Kikosi cha kutuliza ghasia (fFU) akifyatua bomu la machozi kuwasambaratisha mashabiki wa timu ya Simba waliokuwa wanataka kuwashambulia waamuzi wa mchezo kati ya Simba na Polisi Dodoma katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka uwanjani 2-2 na kuifanya Simba kushindwa kufurukuta kwa timu zote za Majeshi kwani Ilishafungwa na Prisons 1-0, JK Ruvu 1-0 na sasa Polisi 2-2.

No comments: