Monday, September 29, 2008

Athumani apelekwa nje kwa matibabu.
Mhariri wa Picha wa Magazezeti ya HabariLeo na HabariLeo Jumapili, Athumani Hamisi akipandishwa katika gari la wagojwa tayari kwa safarai ya uwanja wa ndege ambako alikuwa akisafirishwa kwenda nchini Afrika Kusini kwa matibabu zaidi kufuatia ajali ya gari aliyoipata mamepa mwezi huu Wilayani Kilwa. Athumani aliumia zaidi kifua na shingo alisafirishwa jana kwa ndege ya ATCL.
Blog hii inamuombea kwa Mungu amjalie afya njema haraka na matibabu mema.

No comments: