Saturday, September 27, 2008

jengo la benjamin william mkapa magharibi
hivi ndivyo lionekanavyo jengo la benjamin william mkapa towers katika makutano ya mtaa wa jamhuri street na wa azikiwe avenue ambamo hivi sasa makao makuu ya NSSF yamehamia toka kule barabara ya bibi titi road. pia wamo shirika la maendeleo ya petroli na maduka kibao na saluni kama vile mariedo, dekorfraft na kadhalika

No comments: