Monday, September 22, 2008

simba wa yuda arejea msimbazi kwa kishindo
mwina kaduguda, maarufu kama 'simba wa yuda' , katibu mkuu wa simba aliyesimamishwa uongozi miezi kadhaa iliyopita, amerejeshwa kwenye kiti chake katika mkutano mkuu wa wanachama uliofanyika leo hapa dar. simba huyu wa yuda amerejea ulingoni wakati simba ikiwa inafanya vibaya katika ligi kuu ya bara kwa kufungwa mara mbili mfululizo na jana kutoka sare

No comments: