Saturday, September 27, 2008

fiesta 2008 full kujiramba babake



Josee Chamelione toka Uganda akiwa jukwaani kwenye siku ya miss Tanzania 2008,Josee atakuwepo ndani ya tamasha la Fiesta 2008 ambalo safari hii inaanzia octoba nne ndani ya uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.

Tamasha hilo linalodhamiwa na kinywaji cha Kilimanjaro Premium Lager kauli mbiu yake ni FIESTA JIRAMBE,mbali ya msanii huyo pia atakuwepo Nyota Ndogo kutoka Kenya,Mangwea,Ay,Wanaume Halisi,Wanaume TMK family,Marlow,Mwasiti,Dully Sykes,Mwana FA, Chid Benz wa La familia,Prof Jay,Ray C na wengineo kibao.

No comments: