Friday, October 10, 2008

nyota wa vodacom
vijana wanaowania nafasi za kucheza ughaibuni kwa tiketi ya vodacom wakiwa katika picha ya pamoja na makocha na viongozi wa kampuni hiyo ya simu za mkononi
vodacoma stars wakisakata kabumbu kwenye mechi ya kirafiki leo uwanja wa karume
kocha mkuu wa vijana hao akiwapa mawaidha wakati wa mapumziko
mabosi wa vodacom wakifuatilia kwa makini maendeleo ya vijana wanaowalea kuwa nyota wa baadae

No comments: