Wednesday, October 29, 2008

wastaafu wafunga barabara dar kudai mafao yao
mpaka kieleweke...
Hi Kaka Kadidi,
Leo nilibahatika kuwahi katika kiunga cha barabara za Ali hassani mwinyi na Umoja wa mataifa kwenye mataa ya salenda karibu na kituo kidogo cha polisi ambapo wazee wa iliyokuwa EAC walikaa katikati ya barabara na kusabisha foleni kubwa na magari kutokwenda mjini.
Ilikuwa milango ya saa moja kasoro hivi wakilisha kwenye Globu yetu ya inawezekana wadau waone hii.Wazee wanadai mafao kwa miaka thelathini sasa.
Mdau fisi kubwa

No comments: