Saturday, October 18, 2008

RUVU DARAJANI



Sasa hivi wachina wamemaliza kujenga daraja la Ruvu kwa sisi wa bara kwenda kama mterezo. Ingawa wakwere pale wamelalamika kuwa hakuna matuta magari yanapita kasi sana. Taarifa nilizipata ni kwamba wanataka iwe kama daraja la zamani wakwapue mizigo kwenye malori. Hongera Magufuli wa siku hizi kwa daraja kabambe!

No comments: