Tuesday, October 28, 2008

jk atua sauzi kuzindua
JK akipokewa na Rais wa Bunge la Afrika Dk. Getrude Mongela uwanja wa ndege wa Oliver Tambo usiku kuamkia jana. Mchana huu Jk amefungua kikao cha 10 cha kawaida cha bunge hilo na kurejea bongo kuendelea na ziara yake ya siku 8 ya mkoa wa tabora

No comments: