posta J3 palikuwa hapatoshi kwa machinga kudadadeki
Na wewe ndio husikii eeh,unajificha nini haya chomoka hapo ulipo fasta
"Haya panda huko araaa"!
Masikini ..! mwenyewe katoka home asubuhi smati,akirudi nguo zake zote zimechanwa chanwa na askari wa jiji
"Haroo songesha haraka , tunawakataza msifanye biashara zenu sehemu zisizoruhisiwa hamsikii"!
J3 mchana maeneo kadhaa kati kati ya jiji la Dar kulikuwa na hali ngumu kwa machinga,hali hiyo imesababishwa na askari wa jiji kwa kuvamia na kuanza kukakamata kamata kila aliyekaa kihasara hasara na anayefanya biashara sehemu isiyoruhusiwa.Ilikuwa ni vuta nikuvute kwani machinga nao hawakutaka kukubali kukamatwa kirahisi na bidhaa zao walizokuwa nao.
No comments:
Post a Comment