Tuesday, October 28, 2008

kikao cha kumi cha bunge la africa
mbunge wa kisarawe ambaye pia ni mbunge wa afrika mh. athumani janguo (pili shoto) akishiriki katika kikao cha 10 cha kawaida cha bunge la afrika jana huko pretoria baada ya kufunguliwa na mwenyekiti wa umoja wa afrika JK

No comments: