Saturday, October 18, 2008

wanaume halisi kunafuka moshi mweusi ?

Pichani ni msanii Inspekta haroun akikamua mbele ya wakazi wa A-city kwenye tamasha la fiesta jirambe 2008 ndani ya ukumbi wa matongee canivo-njiro hivi karibuni.
Wadau kuna tetesi zinazoendelea za chini chini kwamba kundi la Wanaume Halisi ambalo linaongozwa na msanii Juma Nature "linafuka moshi mweusi".Hivyo kama kuna ukweli wowote ama la we tega hapa hapa jamvini tutabaini ukweli wa mambo.

No comments: