Monday, October 20, 2008

CHADEMA WAANZA

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akihutubia wakati wa uzinduzi wa 'Operation Sangara', kampeni ya kujiuza wanayodai ya kuwaeleza wananchi juu ya maovu ya CCM nchi nzima. Sijui ushindi wa Tarime umewapa kichwa?
Na mpoki bukuku !!

No comments: