mshindi wa rafda 2008 saidi tambwe akiwa na modo wake aliyevaa vazi alilobuni katika fainali za redds africa designers awards (rafda) hoteli ya kempinski, dar
jaji mkuu, Sonwabile Ndamase (mwenye jaketi la kijani, ndiye mbunifu wa shati la mandela) akiwa na meneja wa redds george kavishe (kulia) na washindi wa rafda 2008
saidi tambwe na modo wake wakitamba baada ya kutangaziwa ushindi mkongwe zahir ally zorro na mwanae banana pamoja na ismail wakitumbuiza kwenye onesho meneja wa redds premium lager george kavishe (kulia) na majaji wa fainali hizo modo wa kimasai, neshno, akionesha kivazi cha masoud wa kipanya mshereheshaji joketi akiwa kazini burudani ya ngoma za kitamaduni ilikuwepo
No comments:
Post a Comment