machinga complex
vijana wamachinga kiasi cha 10,000 wanatarajiwa kufaidika na majengo haya ambayo yamejengwa mahususi kwa ajili ya kufanyia biashara zao badala ya kuzunguka nazo mitaani. hii ni utekelezaji wa moja za ahadi za JK katika kutafutia vijana ajira. majengo haya matatu yapo ilala nyuma ya uwanja wa kumbukumbu ya karume
picha na kaka michuzi
No comments:
Post a Comment