sherehe za iddi dar






hii ni changamoto kwa wawekezaji kwani kukosekana na mahali pa kwenda siku za mapumziko kunapelekea wengi kusherehekea coco beach ambako zaidi ya maji, ashkirimu na soda hakuna. kuna haja mjasiriamali mmoja akajitikeza na mabembea na michezo mingine kibao. kwa lugha ingine 'disney land' inahitajika bongo na wazee wa jiji wanashauriwa kutumia ubunifu kuifanya jamii ya walipa kodi ijione ina viongozi wanaowajibika ipaswavyo
No comments:
Post a Comment