Monday, October 6, 2008

ali kiba aiteka new jersy
Ali Kiba wikiendi ilopita amechengua mamia ya washabiki wake wa Jersey City NJ na kuwafanya wadau wakubali kwamba yeye ni Nambari one East Africa Mahariki nzima.
hapakuwa na pa kutemea mate
hakuna aliyetaka kucheza
hapo ilikuwa ukibanwa na nanihii inabidi uvumilie hadi shoo iishe...

No comments: