Tuesday, December 23, 2008

zain yaja na internet ya megabit 7 ya 3.5G
mkurugenzi mkuu wa zain tanzania khaled muhtadi na bosi mwenzie wakionesha modem na simu zinazoweza kutumika kwa huduma mpya ya 3.5G iliyozinduliwa leo na kampuni hiyo
paparazi wakimpiga mande mkurugenzi mkuu wa zain tanzania khaled muhtadi alipokuwa akizindua huduma ya intanet ya kasi ya teknolojia ya 3.5G yenye spidi ya mebiti 7 katika hoteli ya kempinski, dar. tanzania na ghana pekee ndizo nchi zenye huduma ya 3.5G katika nchi 16 ambazo zain imesambaa

No comments: