Friday, December 12, 2008

fat joe na eve walivyotetemesha dar
eve e akijirusha katika pati ya kuwakaribisha bongo. usiku huo yeye na fat joe pamoja na p-square toka nigeria walitumbuiza viwanja vya gymkhana. ay na mwana fa walizindua albamu yao pia kwenye steji hiyo hiyo
fat joe akijiunga kwenye pati mara tuu baada ya kuwasili usiku
dj wa eve e na wa clouds 88.4fm wakikamua usiku wa pati ya ukaribisho
eve e akijichanganya kwenye pati hiyo
fat joe na wenyeji wake
wadau toka kila kona walialikwa kwenye pati ya ukaribisho
fat joe akohojiwa na dj mully b wa clouds huku chriss akingoja kurusha yake
fat joe akipungua mashabiki baada ya kuwasili dar.

eve e akipozi na mdau iddi na mai waifu wake

mdau deo kapiteni hakucheza mbali
michuzi jnr akifuata nyayo za konozzzz















No comments: