Saturday, December 27, 2008

JAMANI MJIHADHARI


Mshikaji amekamatwa akiwatoa upepo wananchi akijifanya polisi, hii imekuwa noma sasa sijui nani aaminiwe? Ama ndio inatakiwa ukikamatwa ung'ang'anie kwenda kituoni? Jamaa aliingia mkenge akamkamata polisi zikawa arobaini zake. Take care ndugu zanguni!

No comments: