Friday, December 26, 2008

bongo darisalama
Kaka Kadidi,
Bongo raha saaana, ona Hammer na mkokoteni bumper to bumper kwenye foleni, weweeeeeeee
Jana jioni pale Mikocheni mbele ya ofisi za TANESCO jamaa mmoja kaunguliwa na gari. Nilisnepu picha hii wakati ndio kwaaaanza gari la zimamoto linafika. Kama unavyoona moto ulishazimwa na gari la zimamoto limekuja kushangaa tu na kupiga kelele nyingi saaana njiani.
SIKUKUU NJEMA
MDAU

No comments: