Saturday, December 27, 2008

Sasa ni Dr Jakaya Mrisho
Kikwete..



Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kenyatta nchini Kenya, Dk.Harris Mule akimtunuku Phd ya Heshima Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa mahafali ya 25 ya chuo hicho yaliyofanyika mjini Nairobi,Kenya SIKU ZA KARIBUNI.Phd hiyo inatokana na jitihada zake za utatuzi wa migogoro kwa nchi za Afrika hasa mgogoro wa Kenya uliozuka baada ya uchaguzi mapema mwaka huu.Picha na Freddy Maro

No comments: