Saturday, December 20, 2008

Mheshimiwa Temba Afanya
Kweli...
Mheshimiwa Temba kutoka kundi la muziki wa kizazi kipya wa TMK Wanaume Family,Jumamosi iliyopita aliamua kuachana na ukapera baada ya kufunga pingu za Maisha katika kanisa la Azania Front jijini Dar es Salaam.Picha Zote kwa Msaada wa Mdau Abdallah Mrisho Salawi

No comments: