Tuesday, December 23, 2008

hotuba ya mwalimu nyerere huko chimwaga, dodoma, mwaka 1995
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

Video ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwl. Julius Kambarage Nyerere alipozungumza na WanaCCM mwaka 1995 katika ukumbi wa Chama cha Mapinduzi huko Chimwaga, Dodoma, kwenye mchakato wa kumtafuta mgombea wa kiti cha uraisi awamu ya tatu kwa tiketi ya CCM. Wagombea watatu, Benjamin Mkapa, Cleopa Msuya na Jakaya Kikwete walipitishwa na hatimaye Mh. Mkapa akashinda kugombea urais.


Msikilize Mwalimu kwa kubofya link hii

No comments: