Friday, December 12, 2008

Alexander Nyirenda: Shujaa aliepandisha mwenge kilimanjaro
Alexander Gwebe Nyirenda, ni jina ambalo linakumbukwa na litaendelea kukumbukwa kutokana na mchango wake hususani wakati wa sherehe za uhuru.Nyirenda ndiye aliyeipandisha bendera ya uhuru kileleni katika Mlima Kilimanjaro na kuuwasha mwenge wa uhuru ili umulike mipaka yote ya Tanganyika.


Bongo Celebrity ilipata fursa ya kufanya mahojiano na Major Nyirenda ambaye bila kusita alikuwa mwepesi wa kutueleza historia ya maisha yake na zaidi juu ya utumishi wake jeshini na kumbukumbu yake kuhusiana na siku ile.


Kupata mahojiano hayo bofya hapa

No comments: