Monday, December 29, 2008

raha ya mapenzi hujengwa kwa mambo mengi

Raha ilioje kuwa wawili kama hivi pichani mkikatiza kijinjia cha mkato huku mkielekea ufukweni kupunga upepo, tatizo la baadhi yetu mpaka ifike sikukuu ndio tunabebana kwenda huko ufukweni,siku nyingineee aaah WHY .Hata kama hamna kitu ninyi nendeni tu huenda mkaokota

No comments: