Monday, December 15, 2008

JK atua msumbiji kwa ziara ya kikazi ya siku mbili
Rais Armando Guebuza wa Msumbiji akimkaribisha JK katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Maputo tayari kwa kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Msumbiji.
JK na mwenyeji wake Rais Armando Guebuza wa Msumbiji wakikagua gwaride la heshima muda mfupi baada ya Rais na Mkewe kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Maputo leo tayari kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu.

JK na mwenyeji wake Rais Armando Guebuza wakifurahia na watoto waliojitokeza kumpokea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Maputo leo

No comments: