Thursday, December 31, 2009

TAARIFA KWA UMMA TOKA BENKI KUU
MAKAZI YA GAVANA WA BENKI KUU

TAARIFA KUHUSU UJENZI WA MAKAZI YA VIONGOZI WAKUU WA BENKI KUU YA TANZANIA

GAVANA WA Benki Kuu na manaibu wake kwa mujibu wa mikataba ya kazi zao, wanastahili kupewa nyumba ya kuishi kila mmoja. Hapo awali Gavana alikuwa anaishi Barabara ya Mahando kiwanja namba 387Masaki na Naibu Gavana Barabara ya Msese kiwanja Namba 43.

Awali Benki Kuu ilikuwa na viongozi wakuu wawili, Gavana na Naibu wake mmoja. Baada ya mabadiliko ya Sheria ya mwaka 2006, Benki Kuu ina viongozi wakuu wanne; Gavana na Manaibu wake watatu. Kila mmoja wao, kwa mikataba iliyowekwa anastahili kupata nyumba ya kuishi.

Mwaka 2006, kabla ya uteuzi wa viongozi wa sasa wa juu, Benki Kuu ilifanya uamuzi wa kujenga nyumba mbili zaidi kwa makazi ya viongozi walioongezeka. Iliamuliwa nyumba hizi zijengwe kiwanja namba 57 Barabara ya Mtwara Crescent na kiwanja namba 12 Barabara ya Tumbawe maeneo ya Oysterbay.Viwanja vyote viwili vilikuwa ni mali ya Benki Kuu vilivyokuwa na magofu yaliyopigwa marufuku kuishi wanadamu (condemned).

Timu ya wataalamu waelekezi ikiongozwa na M/S SKY Architects Consultants iliajiriwa kutengeneza michoro na ramani za nyumba hizo. Michoro miwili ilichaguliwa, moja kwa kila nyumba ili wataalamu hao watengeneze ramani kamili ya ujenzi. Nyumba zote mbili zilipangwa ziwe za ghorofa moja, vyumba vitano vya kulala, wenyeji na wageni, sebule ya wageni, sebule ya familia, mahali pa kulia na vyoo na mabafu yanayoendana na idadi ya vyumba. Majengo ya nje ni pamoja na nyumba ya kuishi watumishi, gereji ya magari, bwawa dogo la kuogelea, ukuta na vyombo vya usalama na kibanda cha walinzi.

Huduma zilizogharimiwa katika ujenzi wa nyumba hizi ni pamoja na mashine ya umeme (generator), mashine ya kupoza hewa na matenki ya kuhifadhi maji. Wakati huohuo, shughuli zingine zilizofanyika ilikuwa ni kutengeneza mahali pa kuegesha magari pamoja na bustani.

Wataalamu hawa baada ya uchoraji huu walifanya tathmini ya vifaa vinavyohitajika na maelekezo kwa wazabuni ili itumike kualika zabuni. Taratibu zote za manunuzi zilifuata sheria ya manunuzi katika kuwaalika wazabuni na kuteua wakandarasi. Kila nyumba ilikuwa ni mradi unaojitegemea na kila moja ilifanyiwa zabuni peke yake.

Izingatiwe kuwa ujenzi wa nyumba hizi ulipangwa na kuamuliwa kabla ya uteuzi wa Profesa Benno Ndulu kujiunga na Benki Kuu Septemba 2007.

Tangazo la kuwaalika wazabuni kwenye kiwanja namba 12 Barabara ya Tumbawe lilichaapishwa katika gazeti la Daily News la Februari 26,2008.Wakandarasi wote wa daraja la pili au la juu zaidi walialikwa kuwasilisha zabuni na walitakiwa kulipa ada ya shilingi 50,000. Wakandarasi 12 walituma maombi na kuchukua hati za zabuni.Lakini kati ya hao 10, waliwasilisha maombi yao kabla ya kufikia tamati ya kupokelewa maombi hayo Machi 25,2008.

Zabuni hizi zilifunguliwa na Bodi ya Zabuni ya Benki Kuu na kufanyiwa tathimini ikishirikisha mtaalamu mwelekezi wa mradi huo na Idara ya Miliki ya Benki Kuu. Mapendekezo kutoka kwa wakandarasi yalikuwa na viwango vya gharama kuanzia Shilingi 1,399,184,549.00 hadi shilingi 1,847,763,537.00 kwa kiwango cha juu. Baada ya tathmini ya zabuni hizo na kufanya masahihisho ya tarakimu zilizowasilishwa, mzabuni aliyeshinda kwa kuwa na gharama ya chini kuliko wote alikuwa ni M/S Eletrics International Co. Limited. Gharama yake baada ya masahihisho ilikuwa ni Shilingi 1,274,295,025.26.

Taarifa ya tathimini hiyo ilipitia tena kwenye Bodi ya Wazabuni na ndipo ilipofikia uamuzi wa kumteua M/S Eletrics International Co. Limited kwa bei ambayo haitabadilika (fixed price) ya Shilingi 1,274,295,025.26 ya kukamilisha ujenzi huu katika wiki 32.Mkataba wa ujenzi na mkandarasi huyo ulitiwa sahihi Juni 03,2008 na kazi ya ujenzi ikaanza mara moja. Mkandarasi huyu aliteuliwa na Bodi Zabuni (DSM) ya Benki Kuu ikaridhia kuwa M/S Remco (International) Limited ishughulikie maswala aya vipoza hewa; M/s Ginde EAP Services Ltd ishughulikie maswala ya maji safi, mabomba na maji taka na M/s Pomy Engineering Co.Ltd ishughulikie maswala ya umeme. Makampuni yote hayo yamesajiliwa Tanzania.

Wazabuni wa nyumba Namba 57 Mtwara Crescent nao pia walialikwa kwa mfumo huohuo wa ushindani wakianza na wakandarasi watano (5) ambao waliwasilisha maombi yao na kuishia na uteuzi wa M/s Holtan Builders Ltd ambayo gharama yake ya Shilingi 1,272,348,512.00 (fixed price) ilikuwa ni ya chini kuwashinda wengine na makubaliano ya kukamilisha ujenzi katika muda wa wiki 24. Mkandarasi huyo alitumia kampuni zifuatazo kwa shughuli zingine: M/s Jandu Construction & Plumbers Ltd kwa shughuli za mabomba, maji safi, na maji taka, M/s Barkley Electrical Contractors Ltd kwa maswala ya umeme na M/s Remco (International) Ltd kwa shughuli za vipoza hewa. Mkandarasi ndiye mlipaji wa gharama za shughuli hizi zote zinalipiwa kutokana na gharama ileile iliyokubalika kwa mkandarasi mkuu.

Watendaji wote wa miradi hii wanaonyeshwa kwenye mabango ambayo bado yapo kwenye viwanja hivyo. Uteuzi wa Gavana Ndulu, Manaibu Gavana, Dkt. Enos Bukuku na Bw.Lila Mkila ulifanyika wakati mipango ya awali ya kujenga nyumba hizi

ilikuwa imeshaanza. Benki Kuu ilikodisha nyumba mbili, mojakiwanja namba 480 Barabara ya Bray, Masaki na nyingine kiwanja namba 591,Msasani Peninsular kwa matumizi ya viongozi hao wawili ambao walikuwa bado wanaishi kwenye nyumba zao mbali na ofisi.

Kati ya Oktoba 2007 aliporipoti kazini kama Naibu Gavana hadi Aprili 2008, Profesa Ndulu aliishi kwenye nyumba yake iliyoko Mbezi Beach, na Naibu Gavana Mkila naye pia aliishi nyumbani kwake kabla ya kuhamia kwenye nyumba hizi zilizokodishwa.

Benki Kuu iliamua kumhamisha Naibu Gavana Juma Reli kwenda Barabara ya Mahando Masaki ili kuruhusu matengenezo ya nyumba aliyokuwa anaishi Kinondoni Barabara ya Msese. Naibu Gavana Dkt.Bukuku anaishi kwenye nyumba yake na Benki Kuu inatoa posho ya nyumba kulingana na mkataba.

Nyumba hizo mbili zilizojengwa chini ya miradi iliyotajwa, sasa hivi zimekamilika.Gavana wa Benki Kuu, Profesa Ndulu alihamia nyumba namba 12 Barabara ya Tumbawe Desemba 17,2009 na Naibu Gavana Mkila alihamia nyumba namba 57 Mtwara Crescent Desemba 4,2009

Kama ilivyo kiutaratibu, ukaguzi wa mahesabu yanayohusu miradi hiyo utafanyika kisheria. Kwa mujibu wa Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006, Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ndiye mkaguzi wa mahesabu ya Benki Kuu; ambaye ameanza kufanya kazi hii tangu mwaka 2007. Yeye ameiteua kampuni ya Ernst & Young kama wakaguzi wa kumsaidia kutekeleza jukumu hili.

IMETOLEWA NA IDARA YA UHUSIANO NA UMMA NA ITIFAKI
BENKI KUU YA TANZANIA
SEPTEMBA 30, 2009
BOT GOVERNOR'S OFFICIAL RESIDENCE
CONSTRUCTION OF THE BANK OF TANZANIA EXECUTIVE RESIDENCES

Bank of Tanzania Executive officers are entitled to official residence provided by the Bank. Initially the Bank used to have only two executive officers, the Governor and one Deputy Governor. The Governor was living at BOT house No. 387 Mahando Street and Deputy Governor at BOT house No. 43 Msese Road. As a result of the changes made in section 8 of the Bank of Tanzania Act, 2006, the Bank has now four Executives, the Governor and three Deputy Governors, for whom it is obliged to provide official accommodation.

In 2006, in advance of the presidential appointment of the current office bearers, the Bank decided to construct two additional executive accommodations, one on plot No. 12 Tumbawe Road and another on plot No. 57 Mtwara Crescent at Oysterbay, Dar es Salaam. A team of consultants led by M/S SKY Architects Consultants was engaged to provide schematic drawings that were reviewed by the Bank and two of these, one for each plot, were selected for detailed design stage.


Each residence was designed to be a one storey building with five bedrooms, visitors lounge, family lounge, dining area and associated service rooms. The outbuildings include servant’s quarter, car ports, swimming pool, boundary wall, security systems and guard house. Services include power generator, central cooling system and water storage facilities while external works include landscaping and paved car park.

The consultants then prepared bills of quantities and technical specification that were compiled to form tender documents ready for tender process. All procedures in line with procurement laws and regulation were adhered to, when determining the cost of each of the residences as well as in selecting contractors and sub contractors. Each residence was considered as an independent project and a separate tender process was carried out for each one.

It is important for the public to know that, the planning and decision to have these houses constructed was done before Prof Benno Ndulu was appointed at the Bank of Tanzania.

Tenderers for works at plot No. 12 Tumbawe Street were invited using competitive open tender advertised on the Daily News of 26th February 2008. Interested contractors of class II and above were invited to apply for tender document and were instructed to pay non-refundable tender fee of Tshs 50,000/=.

A total of 12 contractors applied and collected the tender documents, but only 10 submitted their bids before deadline, 25th March 2008. The received tenders were opened by BOT Tender Board and forwarded to Project Consultant via the Bank of Tanzania Estate Management Department for evaluation. Tender results read during tender opening ranged from the lowest tender price of Tshs 1,399,184,549.00 to the highest price of Tshs 1,847,763,537.00.

After tender evaluation, which involved preliminary examination of tender, arithmetic correction and detailed analysis, the lowest evaluated bidder was determined to be M/s Electrics International Co. Limited at a corrected tender price of Tshs 1,274,295,025.26. Evaluation report was deliberated by BOT Tender Board and it was approved to award construction works to M/s Electrics International Co. Limited at a fixed contract price of Tshs 1,274,295,025.26 and 32 weeks completion period.

Contract agreement between the Bank and the contractor was signed on 3rd June 2008 and construction works started immediately thereafter. Subcontractors for specialized works were nominated and approved by the BOT Tender Board. These included M/s Remco (International) Ltd for Air Conditioning installation, M/s Ginde EAP Services Ltd for plumbing and drainage systems and M/s Pomy Engineering Co. Ltd for Electrical installations. All these companies are registered in Tanzania.

Tenderers for house no. 57 Mtwara Crescent were invited through a competitive tender method where 5 short-listed contractors were invited to collect tender documents and bid for work. Submitted tenders went through the same tender process detailed above that resulted into M/s Holtan Builders Ltd being determined the lowest evaluated bidder at Tshs 1,272,348,512.00 and 24 weeks completion period.

Subcontractor nominated and approved in this case were M/s Jandu Construction & Plumbers Ltd for plumbing and drainage systems, M/s Barkley Electrical Contractors Ltd for electrical installation and M/s Remco (International) Ltd for Air Conditioning installation. The cost for specialized works undertaken by subcontractors for each site is included on the fixed contract prices for respective main contractor. Likewise, lists of project parties for both works are displayed on the sign boards that are still erected at the front side of respective plots.

While the two projects were still on preliminarily stages, appointment of the three new executive officers to Bank of Tanzania was completed. The Bank was thus compelled to rent two residential houses one on plot No. 480 Bray Road Masaki and another on plot No. 591 at Msasani Peninsular.

One house was allocated to Professor Benno Ndulu, by then the first Deputy Governor, and another to Deputy Governor Lila Mkila. Prior to moving to this rented house; between October 2007 and April 2008, Prof Ndulu lived in his own house in Mbezi Beach. Likewise Deputy Governor Mkila stayed in his own house before moving to the rented premise.

These movements were to facilitate easy access to the office in light of traffic congestion in the city. It was decided to relocate Deputy Governor Juma Reli to house No. 387 Mahando Street to give way for planned refurbishment required at house No. 43 Msese road. Deputy Governor Enos Bukuku is residing in his own private house, and is paid housing allowance in lieu of occupying official residence as entitled – pending the planned refurbishment of Plot No. 43 Msese road residence.

The construction of the two executive residences has now been completed. Both Governor Ndulu and Deputy Governor Mkila, who were residing in rented houses have relocated to the new Bank of Tanzania official residences. The Governor has relocated to house No. 12 Tumbawe Road since 17th December 2009 and Deputy Governor Mkila to house No. 57 Mtwara Crescent since 4th December 2009.

As it is with all other Bank of Tanzania projects, these too will be subject to the usual audit process. It might be important for the public to know that, as stipulated in the Bank of Tanzania Act 2006 the Controller and Auditor General (CAG) is the external auditor for the Bank. The CAG has retained the services of the Ernst and Young, an international audit firm to support the external audit work of the Bank.

Issued by Public Relations & Protocol Department
BANK OF TANZANIA
30TH DECEMBER 2009

12 comments:

Anonymous said...

Hi there to every single one, it's really a pleasant for me to pay a quick visit this web site, it includes precious Information.
Also visit my blog post : ways remove acne overnight

Anonymous said...

Heya this is somewhat of off topic but I was wondering if blogs
use WYSIWYG editors or if you have to manually code with HTML.
I'm starting a blog soon but have no coding expertise so I wanted to get advice from someone with experience. Any help would be enormously appreciated!
Feel free to surf my webpage ; freedom from acne

Anonymous said...

This desіgn іs wicked! You сertаinly knοω hoω to keep a reaԁeг
entertained. Betwеen yοur wit and уour viԁeos, I waѕ almoѕt moνed to staгt mу οωn blog (ωell, almost.
..HаHa!) Great ϳоb. I really еnjoyeԁ what уou had to sаy, and more than that, hoω you presеnted іt.
Tοo cool!

Alsо visit my web рage :: click here

Anonymous said...

My spouse and I stumbled over here different page
and thought I might as well check things out. I like what I see so now i'm following you. Look forward to exploring your web page repeatedly.

Also visit my website - Order Rejuvenex

Anonymous said...

Hi! Thіs is kind of οff topic but I need some help from an еѕtabliѕhed blog.
Ιs it ԁifficult tο ѕet uρ your οwn
blog? I'm not very techincal but I can figure things out pretty fast. I'm
thinking abοut makіng my own but I'm not sure where to begin. Do you have any points or suggestions? Thank you

Here is my website: 24 hour Emergency Plumber Solihull

Anonymous said...

Have you ever considered writing an e-book or guest authoring on other sites?
I have a blog based on the same topics you discuss and would love
to have you share some stories/information.
I know my visitors would appreciate your work.
If you are even remotely interested, feel free to shoot me an email.



Also visit my web-site ... best cellulite treatment

Anonymous said...

This post is tгuly a nісe οnе it assists new ωеb usеrs,
who аre wishing for blogging.

My hοmеpаge; residential garage doors home depot garage doors

Anonymous said...

Very nice post. I just stumbled upon your weblog and wished to say that I've really enjoyed browsing your blog posts. After all I will be subscribing to your rss feed and I hope you write again very soon!

Take a look at my web blog - dislocated shoulder support brace

Anonymous said...

It's very simple to find out any topic on net as compared to books, as I found this article at this web site.

Feel free to visit my blog: Peterseninc.Com

Anonymous said...

I think this is among the most important information for me.
And i'm glad reading your article. But should remark on few general things, The website style is wonderful, the articles is really great : D. Good job, cheers

Look at my web blog airbnb coupon code 2013

Anonymous said...

Hello my loved one! I want to say that this post is awesome, great
written and come with approximately all vital infos. I would like to peer more posts like this .


Feel free to surf to my weblog ... richard.web.br.com

Anonymous said...

Hello would you mind letting me know which webhost you're utilizing? I've loaded your blog in 3 different internet
browsers and I must say this blog loads a lot quicker then most.
Can you recommend a good web hosting provider at a reasonable
price? Thanks a lot, I appreciate it!

Here is my web site rentals in san francisco